Kanumba kuzindua filamu kigoma leo

kabila01

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2009
Posts
4,235
Reaction score
4,964
Muigizaji Maarufu hapa nchini Steve Kanumba leo anazindua filamu yake mpya katika ukumbi wa kizota uliopo mkoani Kigoma. Wadau wa sanaa hii mnaombwa mjitokeze kwa wingi sana katika kumuunga mkono msanii huyu
 
Muigizaji Maarufu hapa nchini Steve Kanumba leo anazindua filamu yake mpya katika ukumbi wa kizota uliopo mkoani Kigoma. Wadau wa sanaa hii mnaombwa mjitokeze kwa wingi sana katika kumuunga mkono msanii huyu

Kiingilio buku ngapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…