Kanumba: Masharti manne aliyomwekea lulu ili kulinda penzi lao




ww acha ujinga umati uliojitokeza siku ile leaders, wat zaidi ya miatano kuzimia na habari zilivyo jaa kweny tv zote niushahidi tosha kuwa watz walikuwa kwenye msiba wakiomboleza.
 
naiamini hii habari. Juzi nimezungumza na dada mmoja askari pale Oysterbay akanisimulia the same.

Unaiamini kwa kuwa pia umesimuliwa na askari-wp? achana na hiyo,askari wenyewe mbona magumashi tu? c ndo hawa wanaouza madawa ya kulevya exihibit na kuubadilisha na chokaa? c ndo hawa wanashirikiana na majambazi armed na pia political kama wa ccm kuibia watu? acha hiyo kitu mkuu
 



kama mdogo wako ndio angekua anabakwa na kanumba au kanumba angekua anakubaka wewe nadhani ungekaa kimya wala usingeshabikia huu upuuzi!
 

Sharti namba 4 hakulitii Mkuu ndo maana alikuwa bado anaendelea kubanana na Mke wa Captaiin,na habari za ndani zinasema kila walipokuwa wanapata fursa ya kuonana na Mheshimiwa faragha ndo Cement zilivyokuwa zinazidi kwenda kule kwenye Site yake Kimara.
 
ww acha ujinga umati uliojitokeza siku ile leaders, wat zaidi ya miatano kuzimia na habari zilivyo jaa kweny tv zote niushahidi tosha kuwa watz walikuwa kwenye msiba wakiomboleza.
Siamin Ule ulikuwa ni mkusanyiko wa wajinga na mzezeta kama wewe msiokuwa na shughuli za kufanya, kamwe Taifa haliwezi kuomboleza kifo cha Mzinzi na mbakaji na ambaye alikufa akitaka kumbaka binti ambaye yuko chini ya miaka 18.

Wewe ni msukule kama ilivyo Misukule mingine na ndio maana huelewi lolote lakini kwa kifupi Kanumba ni Rapist na tutamsomea hukumu hata pale kwenye kaburi lake huyu mbakaji.
 

This is too much mkuu. U have gone too far. Punguza jazba.
 

Mheshimiwa gani huyo mkuu?
 

Kweli mzee kama wanaomboleza kifo cha kanumba ndio 'watu' naomba niitwe kuku na wanaoomboleza ndio taifa naomba nifutwe uraia oh,kwa kuwa mi ni kuku bora nichinjwe maramoja! haiwezekani mtu wa aina ile atukuzwe vile!nakubali tukizungumzia sanaa ya maigizo ana nafasi yake lakini linapokuja suala la yeye kama mwanajamii amefeli bwana na mungu amsamehe uko alipo!
 
ww acha ujinga umati uliojitokeza siku ile leaders, wat zaidi ya miatano kuzimia na habari zilivyo jaa kweny tv zote niushahidi tosha kuwa watz walikuwa kwenye msiba wakiomboleza.
wewe ndio mjinga no. 1 kwaiyo kwa vigezo ivyo ndo tz inaomboleza msiba !
Labda bendera ya chama chenu ndio ilipepea nusu mlingoti !
Watu gani wanazimia cm hazitoki mkononi !
Watu walijaa kwa malengo yao binafsi wengine biashara ndo ziliwaweka pale
 
jamani hivi aliyeanzisha hii thread si kuna kipindi alituandikia thread kwamba anatuaga anaenda shule na hataweza kuchanganya vitu viwili yani shule na JF, sasa anafanya nini humu ndani au amedisco?
 
wewe ndio mjinga no. 1 kwaiyo kwa vigezo ivyo ndo tz inaomboleza msiba !
Labda bendera ya chama chenu ndio ilipepea nusu mlingoti !
Watu gani wanazimia cm hazitoki mkononi !
Watu walijaa kwa malengo yao binafsi wengine biashara ndo ziliwaweka pale

Usemayo ni kweli kabisa mkuu.
 
Mbona masharti yanafanana kabisa na yale ambayo kila mwanaume anayoa baa medi lazima ampe mke mtalajiwa?
 
Mbona masharti yanafanana kabisa na yale ambayo kila mwanaume anayoa baa medi lazima ampe mke mtalajiwa?

Hivi wewe Ndebile ni msukuma? Umejuaje kuwa masharti kama haya huwa yanatolewa na wanaume ambao huwa wanaoa ma bar maid?
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…