Hahahaha! Hahahaha! LOL! Nimekumbuka enzi hizo dingi akiwa anapiga mtungi akatoka akaacha kabia mezani, nilikuwa naimendea kama fisi anavomendea mzoga. Na matokeo yake ndio haya!
Hahahaha! Hahahaha! LOL! Nimekumbuka enzi hizo dingi akiwa anapiga mtungi akatoka akaacha kabia mezani, nilikuwa naimendea kama fisi anavomendea mzoga. Na matokeo yake ndio haya!