kanumba na chadema,vijana na chadema

Chuck j

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2011
Posts
2,366
Reaction score
828
habari nilizozisikia leo saa moja usk ni kkua,marehemu kanumba alikuwa anampango na cdm kugombea ubunge shinyanga,souce baba mzazi akihojiwa na radio wapo ,ktk kipindi cha patapata,na alikuwa anaungwa mkono na jamii yote,vijana wakike na wakiume,na wamama
 
R.I.P Kanumba,
"Kila tunapokabiliana na kifo na tufanye hivyo tena kwa ujasiri;na hasa tukitambua kwamba kilio chetu kimewafikia wengine na kwamba tukidondoka atatokea mwingine wa kuziokota Siraha zetu kuendeleza mapambano" che- atatokea kanumba mwingine kwa tiket ya CDM pale shinyanga
 
R.I.P the great, hoping to get someone of your calibre for the shnyanga mp post
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…