Wanajamvi katika siku za hivi karibuni nilipata taarifa kwamba Ramsey Noah na kanumba wanafanya movie ya pamoja.sasa nataka
kufahamu kama hiyo movie iko tayari au la.Tafadhali naomba munijuze
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.