Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Tupo mwishoni mwa ligi kuu ya NBCPL msimu huu 2023/2024 ambapo mei 28 2024 ndiyo tamati yake
hadi sasa vita vikubwa ni Aziz Ki na Feisal katika kuibuka mfugaji bora, vita nyingine ni ya AZam fc na Simba sc kumaliza nafasi ya pili.
Sasa tukitazama katika upande wa mfungaji bora ambao wanalingana hadi sasa ni Feisal wa Azam FC na Aziz Ki wa Yanga wote wakiwa na magoli 18 lakini Aziz ki assit 7 hadi sasa huku Feisal anazo 6.
Sasa ikitoke hadi ligi inamalizika wote wamefanana magoli basi kanuni ipo hivi;
Kanuni ya 11 (Vikombe na Tuzo)
13.1. Magoli yaliyofungwa kwa njia ya kawaida yatahesabiwa kuwa na alama mbili (2), na magoli yaliyofungwa kwa njia ya penalti yatahesabiwa kuwa na alama moja (1). Mchezaji mwenye alama nyingi atatangazwa kuwa mshindi.
13.2. Katika hali ya linganisho la alama, mchezaji aliyecheza muda mchache zaidi atapewa kipaumbele.
13.3. Iwapo wachezaji watapatana katika vigezo vyote viwili hapo juu, mchezaji aliyefunga mabao mengi ugenini atatangazwa kuwa mshindi.
13.4. Katika mashindano ya mtoano, mchezaji atakayekuwa katika timu iliyofika hatua ya juu zaidi ndiye atakayetajwa mshindi wa zawadi ya ufungaji bora.
hadi sasa vita vikubwa ni Aziz Ki na Feisal katika kuibuka mfugaji bora, vita nyingine ni ya AZam fc na Simba sc kumaliza nafasi ya pili.
Sasa tukitazama katika upande wa mfungaji bora ambao wanalingana hadi sasa ni Feisal wa Azam FC na Aziz Ki wa Yanga wote wakiwa na magoli 18 lakini Aziz ki assit 7 hadi sasa huku Feisal anazo 6.
Sasa ikitoke hadi ligi inamalizika wote wamefanana magoli basi kanuni ipo hivi;
Kanuni ya 11 (Vikombe na Tuzo)
13.1. Magoli yaliyofungwa kwa njia ya kawaida yatahesabiwa kuwa na alama mbili (2), na magoli yaliyofungwa kwa njia ya penalti yatahesabiwa kuwa na alama moja (1). Mchezaji mwenye alama nyingi atatangazwa kuwa mshindi.
13.2. Katika hali ya linganisho la alama, mchezaji aliyecheza muda mchache zaidi atapewa kipaumbele.
13.3. Iwapo wachezaji watapatana katika vigezo vyote viwili hapo juu, mchezaji aliyefunga mabao mengi ugenini atatangazwa kuwa mshindi.
13.4. Katika mashindano ya mtoano, mchezaji atakayekuwa katika timu iliyofika hatua ya juu zaidi ndiye atakayetajwa mshindi wa zawadi ya ufungaji bora.