Kanuni Mpya za Benki Kuu ya Tanzania na Athari Zake kwa Soko la Fedha za Kigeni

Kanuni Mpya za Benki Kuu ya Tanzania na Athari Zake kwa Soko la Fedha za Kigeni

Damaso

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2018
Posts
3,978
Reaction score
6,739
Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imeanzisha kanuni mpya kwa ajili ya shughuli za kubadilisha fedha za kigeni, ikijumuisha uwepo wa masharti makali zaidi kwa ajili ya miamala inayozidi dola za Marekani 5,000. Kanuni hizi mpya zina lengo la kuimarisha uwazi, uwajibikaji, na usalama ndani ya soko la fedha za kigeni.

images (51).jpeg

Matokeo chanya:

Kanuni hizi mpya zina matarajio makubwa ya kuleta athari chanya haswa kwenye soko la fedha za kigeni nchini. Baadhi ya faida zinazotarajiwa kuonekana ni uwepo wa kanuni hizi zitasaidia kuimarisha uthabiti wa uchumi kwa kudhibiti mtiririko wa fedha za kigeni na kupunguza hatari ya uhalifu wa fedha pamoja na utakatishaji fedha.

images (50).jpeg

Pia kwa kuweka masharti makali zaidi kwa ile miamala mikubwa, kanuni hizi zitasaidia kuongeza uaminifu katika soko la fedha za kigeni pamoja na maduka ya kubadilishia fedha za kigeni, na hivyo kuvutia wawekezaji wa kigeni.

images (49).jpeg

Mbali na hivyo masharti haya yatakwenda kuimarisha udhibiti wa miamala, kwa sababu kanuni hizi zitasaidia kupunguza uhalifu wa fedha kama vile ugaidi na biashara ya dawa za kulevya. Kubwa zaidi ni kuwa kanuni hizi zitasaidia kuongeza ufanisi wa soko la fedha za kigeni kwa kuweka viwango vya ubora na uwazi.

Matokeo hasi:

images (48).jpeg

Hata hivyo, pamoja na faida zinazotarajiwa, kanuni hizi mpya zinaweza pia kuleta athari hasi kwenye soko la fedha za kigeni. Baadhi ya athari hizi ni kuongeza gharama za biashara, kwani kanuni hizi zinaweza kuongeza gharama za biashara kwa wafanyabiashara wadogo na wa kati ambao wanategemea sana kubadilisha fedha za kigeni, hivo gharama za bidhaa ama huduma pamoja na uendeshaji zinaweza kupaa maradufu.


images (47).jpeg

Upande wa pili ni kuwa kanuni hizi zinaweza kupunguza ufikivu wa huduma za kubadilisha fedha katika maeneo ya vijijini na mbali, ambapo kuna idadi ndogo ya mabenki na taasisi za fedha, maeneo yasiyo na huduma za kifedha ni ngumu kupata maduka haya ya kubadilisha fedha za kigeni kwa kuwa gharama za uendeshaji zitakuwa ni kubwa ukilinganisha na wakati ambao kanuni hizi hazikuwepo kwenye mfumo.

images (46).jpeg

Ni suala ambalo kila mtu anaweza kukubaliana na mimi, kanuni hizi zinaweza kuongeza muda wa kusimamia miamala, na hivyo kuchelewesha biashara na shughuli za kibiashara.

Uwepo wa IFU kwenye mifumo ya kifedha hutoa msaada mkubwa katika kufuatilia kwa ukaribu shughuli haramu kama utakatishaji wa fedha, hivyo tunaweza kukutana na suala la kuongezeka kwa muda wa kusimamia miala hii.

images (49).jpeg

Ni dhahiri kuwa kanuni hizi zinaweza kusababisha kuongezeka kwa uhalifu wa fedha katika soko la haramu la fedha, ambapo watu wanaweza kutafuta njia za kubadilisha fedha nje ya mfumo rasmi, hapa ndipo vishoka huingia kazini na katika hili ndipo fedha feki huingia kwenye mifumo na jamii hujikuta wakizitumia katika shughuli zao.

Kanuni hizi mpya za Benki Kuu ya Tanzania mahususi kwa ajili ya shughuli za kubadilisha fedha za kigeni zinaweza kuleta matokeo chanya kwenye soko la fedha za kigeni.

Hata hivyo, ni muhimu kuzingatia kuwa matokeo hasi yanayoweza kutokea katika kipindi hiki, na kuchukua hatua za kupunguza madhara hayo kwa kushirikiana na Wizara ya fedha, Hazina, pamoja na vyombo vya usalama kama vile Uhamiaji, Jeshi la Polisi pamoja na Usalama wa Taifa katika kupunguza athari za matokeo hasi.

Ni muhimu pia kuhakikisha kuwa kanuni hizi zinatekelezwa kwa ufanisi na uwazi, ili kuepuka kuongeza mzigo usio wa lazima kwa wafanyabiashara na wananchi wa kawaida.

Kwa kufanya hivyo, Tanzania inaweza kuendelea kuimarisha uthabiti wa uchumi wake na kuvutia wawekezaji wa kigeni. Pongezi nyingi sana Emmanuel Mpawe Tutuba, pamoja na timu yako haswa Dr. Yamungu Kayandabila.
 
Kama hamjui, Waliotunga hizo kanuni ndio hao hao wanamiliki masoko meusi ya fedha (Currency black market) hapa nchini. Na wamefannya hivi kwa makusudi ili kuongeza wateja kwenye masoko yao, ambapo dollar wanauza hadi 3,000/= kwa dollar 1, hivyo hii ni mbinu yao tu ya kujiongezea kipato haramu. Wamiliki wa Black market lazima wawe na connection na BOT, nje ya hapo hutoboi!
 
Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imeanzisha kanuni mpya kwa ajili ya shughuli za kubadilisha fedha za kigeni, ikijumuisha uwepo wa masharti makali zaidi kwa ajili ya miamala inayozidi dola za Marekani 5,000. Kanuni hizi mpya zina lengo la kuimarisha uwazi, uwajibikaji, na usalama ndani ya soko la fedha za kigeni.
View attachment 3140220

Matokeo chanya:

Kanuni hizi mpya zina matarajio makubwa ya kuleta athari chanya haswa kwenye soko la fedha za kigeni nchini. Baadhi ya faida zinazotarajiwa kuonekana ni uwepo wa kanuni hizi zitasaidia kuimarisha uthabiti wa uchumi kwa kudhibiti mtiririko wa fedha za kigeni na kupunguza hatari ya uhalifu wa fedha pamoja na utakatishaji fedha.
View attachment 3140221

Pia kwa kuweka masharti makali zaidi kwa ile miamala mikubwa, kanuni hizi zitasaidia kuongeza uaminifu katika soko la fedha za kigeni pamoja na maduka ya kubadilishia fedha za kigeni, na hivyo kuvutia wawekezaji wa kigeni.

View attachment 3140222
Mbali na hivyo masharti haya yatakwenda kuimarisha udhibiti wa miamala, kwa sababu kanuni hizi zitasaidia kupunguza uhalifu wa fedha kama vile ugaidi na biashara ya dawa za kulevya. Kubwa zaidi ni kuwa kanuni hizi zitasaidia kuongeza ufanisi wa soko la fedha za kigeni kwa kuweka viwango vya ubora na uwazi.

Matokeo hasi:

View attachment 3140223
Hata hivyo, pamoja na faida zinazotarajiwa, kanuni hizi mpya zinaweza pia kuleta athari hasi kwenye soko la fedha za kigeni. Baadhi ya athari hizi ni kuongeza gharama za biashara, kwani kanuni hizi zinaweza kuongeza gharama za biashara kwa wafanyabiashara wadogo na wa kati ambao wanategemea sana kubadilisha fedha za kigeni, hivo gharama za bidhaa ama huduma pamoja na uendeshaji zinaweza kupaa maradufu.

View attachment 3140224
Upande wa pili ni kuwa kanuni hizi zinaweza kupunguza ufikivu wa huduma za kubadilisha fedha katika maeneo ya vijijini na mbali, ambapo kuna idadi ndogo ya mabenki na taasisi za fedha, maeneo yasiyo na huduma za kifedha ni ngumu kupata maduka haya ya kubadilisha fedha za kigeni kwa kuwa gharama za uendeshaji zitakuwa ni kubwa ukilinganisha na wakati ambao kanuni hizi hazikuwepo kwenye mfumo.

View attachment 3140225
Ni suala ambalo kila mtu anaweza kukubaliana na mimi, kanuni hizi zinaweza kuongeza muda wa kusimamia miamala, na hivyo kuchelewesha biashara na shughuli za kibiashara.

Uwepo wa IFU kwenye mifumo ya kifedha hutoa msaada mkubwa katika kufuatilia kwa ukaribu shughuli haramu kama utakatishaji wa fedha, hivyo tunaweza kukutana na suala la kuongezeka kwa muda wa kusimamia miala hii.

View attachment 3140222
Ni dhahiri kuwa kanuni hizi zinaweza kusababisha kuongezeka kwa uhalifu wa fedha katika soko la haramu la fedha, ambapo watu wanaweza kutafuta njia za kubadilisha fedha nje ya mfumo rasmi, hapa ndipo vishoka huingia kazini na katika hili ndipo fedha feki huingia kwenye mifumo na jamii hujikuta wakizitumia katika shughuli zao.

View attachment 3140220
Kanuni hizi mpya za Benki Kuu ya Tanzania mahususi kwa ajili ya shughuli za kubadilisha fedha za kigeni zinaweza kuleta matokeo chanya kwenye soko la fedha za kigeni.

Hata hivyo, ni muhimu kuzingatia kuwa matokeo hasi yanayoweza kutokea katika kipindi hiki, na kuchukua hatua za kupunguza madhara hayo kwa kushirikiana na Wizara ya fedha, Hazina, pamoja na vyombo vya usalama kama vile Uhamiaji, Jeshi la Polisi pamoja na Usalama wa Taifa katika kupunguza athari za matokeo hasi.

View attachment 3140224
Ni muhimu pia kuhakikisha kuwa kanuni hizi zinatekelezwa kwa ufanisi na uwazi, ili kuepuka kuongeza mzigo usio wa lazima kwa wafanyabiashara na wananchi wa kawaida.

Kwa kufanya hivyo, Tanzania inaweza kuendelea kuimarisha uthabiti wa uchumi wake na kuvutia wawekezaji wa kigeni. Pongezi nyingi sana Emmanuel Mpawe Tutuba, pamoja na timu yako haswa Dr. Yamungu Kayandabila.

Tanzania haijwahi kukosa kanuni, inakosa utekelezaji wa kanuni, “garbage”

Hii nchi ni zaidi ya muijuavyo!
 
Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imeanzisha kanuni mpya kwa ajili ya shughuli za kubadilisha fedha za kigeni, ikijumuisha uwepo wa masharti makali zaidi kwa ajili ya miamala inayozidi dola za Marekani 5,000. Kanuni hizi mpya zina lengo la kuimarisha uwazi, uwajibikaji, na usalama ndani ya soko la fedha za kigeni.
View attachment 3140220

Matokeo chanya:

Kanuni hizi mpya zina matarajio makubwa ya kuleta athari chanya haswa kwenye soko la fedha za kigeni nchini. Baadhi ya faida zinazotarajiwa kuonekana ni uwepo wa kanuni hizi zitasaidia kuimarisha uthabiti wa uchumi kwa kudhibiti mtiririko wa fedha za kigeni na kupunguza hatari ya uhalifu wa fedha pamoja na utakatishaji fedha.
View attachment 3140221

Pia kwa kuweka masharti makali zaidi kwa ile miamala mikubwa, kanuni hizi zitasaidia kuongeza uaminifu katika soko la fedha za kigeni pamoja na maduka ya kubadilishia fedha za kigeni, na hivyo kuvutia wawekezaji wa kigeni.

View attachment 3140222
Mbali na hivyo masharti haya yatakwenda kuimarisha udhibiti wa miamala, kwa sababu kanuni hizi zitasaidia kupunguza uhalifu wa fedha kama vile ugaidi na biashara ya dawa za kulevya. Kubwa zaidi ni kuwa kanuni hizi zitasaidia kuongeza ufanisi wa soko la fedha za kigeni kwa kuweka viwango vya ubora na uwazi.

Matokeo hasi:

View attachment 3140223
Hata hivyo, pamoja na faida zinazotarajiwa, kanuni hizi mpya zinaweza pia kuleta athari hasi kwenye soko la fedha za kigeni. Baadhi ya athari hizi ni kuongeza gharama za biashara, kwani kanuni hizi zinaweza kuongeza gharama za biashara kwa wafanyabiashara wadogo na wa kati ambao wanategemea sana kubadilisha fedha za kigeni, hivo gharama za bidhaa ama huduma pamoja na uendeshaji zinaweza kupaa maradufu.

View attachment 3140224
Upande wa pili ni kuwa kanuni hizi zinaweza kupunguza ufikivu wa huduma za kubadilisha fedha katika maeneo ya vijijini na mbali, ambapo kuna idadi ndogo ya mabenki na taasisi za fedha, maeneo yasiyo na huduma za kifedha ni ngumu kupata maduka haya ya kubadilisha fedha za kigeni kwa kuwa gharama za uendeshaji zitakuwa ni kubwa ukilinganisha na wakati ambao kanuni hizi hazikuwepo kwenye mfumo.

View attachment 3140225
Ni suala ambalo kila mtu anaweza kukubaliana na mimi, kanuni hizi zinaweza kuongeza muda wa kusimamia miamala, na hivyo kuchelewesha biashara na shughuli za kibiashara.

Uwepo wa IFU kwenye mifumo ya kifedha hutoa msaada mkubwa katika kufuatilia kwa ukaribu shughuli haramu kama utakatishaji wa fedha, hivyo tunaweza kukutana na suala la kuongezeka kwa muda wa kusimamia miala hii.

View attachment 3140222
Ni dhahiri kuwa kanuni hizi zinaweza kusababisha kuongezeka kwa uhalifu wa fedha katika soko la haramu la fedha, ambapo watu wanaweza kutafuta njia za kubadilisha fedha nje ya mfumo rasmi, hapa ndipo vishoka huingia kazini na katika hili ndipo fedha feki huingia kwenye mifumo na jamii hujikuta wakizitumia katika shughuli zao.

View attachment 3140220
Kanuni hizi mpya za Benki Kuu ya Tanzania mahususi kwa ajili ya shughuli za kubadilisha fedha za kigeni zinaweza kuleta matokeo chanya kwenye soko la fedha za kigeni.

Hata hivyo, ni muhimu kuzingatia kuwa matokeo hasi yanayoweza kutokea katika kipindi hiki, na kuchukua hatua za kupunguza madhara hayo kwa kushirikiana na Wizara ya fedha, Hazina, pamoja na vyombo vya usalama kama vile Uhamiaji, Jeshi la Polisi pamoja na Usalama wa Taifa katika kupunguza athari za matokeo hasi.

View attachment 3140224
Ni muhimu pia kuhakikisha kuwa kanuni hizi zinatekelezwa kwa ufanisi na uwazi, ili kuepuka kuongeza mzigo usio wa lazima kwa wafanyabiashara na wananchi wa kawaida.

Kwa kufanya hivyo, Tanzania inaweza kuendelea kuimarisha uthabiti wa uchumi wake na kuvutia wawekezaji wa kigeni. Pongezi nyingi sana Emmanuel Mpawe Tutuba, pamoja na timu yako haswa Dr. Yamungu Kayandabila.
Ni upuuzi tupu
 
KANUNI NA MUONGOZO MPYA NI HUU:

1. KWA WASAFIRI: Utatakiwa kuwa na passport ya kusafiria na tiketi halali ya Ndege, Basi au meli ya kusafiria nje ya Nchi
2. ⁠KWA WAFANYABIASHARA WASIO NA KAMPUNI: Utatakiwa kuwa na TIN Number, Leseni ya Biashara, Ankara (Invoice) halali na iliyokamilika ambayo itaonyesha bidhaa/huduma inayokwenda kununuliwa, kiasi cha fedha za kigeni zinazohitajika, tarehe, Mnunuzi na Muuzaji.

3. KWA WAFANYABIASHARA WENYE KAMPUNI: Utahitajika kuwa na TIN Number, Leseni ya Biashara, kitambulisho cha mmoja wa Wamiliki wa Kampuni, Ankara (Invoice) halali na iliyo kamilika ambayo itaonyesha bidhaa/huduma inayoenda kununuliwa, kiasi cha fedha za kigeni zinazohitajika, tarehe, Mnunuzi na Muuzaji.

4. ⁠Kwa wanaohitaji fedha za kigeni ili kulipia gharama za masomo au mafunzo wanahitajika kuwa na kitambulisho halali, barua kutoka Taasisi ya elimu itakayopokea malipo hayo kwa fedha za kigeni,.

5. ⁠kwa wale wanaohitaji fedha za kigeni ili kulipia gharama za matibabu wanahitajika kufika na kitambulisho halali pamoja na barua kutoka taasisi ya matibabu/hospitali itakayopokea malipo hayo kwa fedha za kigeni.
 
KANUNI NA MUONGOZO MPYA NI HUU:

1. KWA WASAFIRI: Utatakiwa kuwa na passport ya kusafiria na tiketi halali ya Ndege, Basi au meli ya kusafiria nje ya Nchi
2. ⁠KWA WAFANYABIASHARA WASIO NA KAMPUNI: Utatakiwa kuwa na TIN Number, Leseni ya Biashara, Ankara (Invoice) halali na iliyokamilika ambayo itaonyesha bidhaa/huduma inayokwenda kununuliwa, kiasi cha fedha za kigeni zinazohitajika, tarehe, Mnunuzi na Muuzaji.

3. KWA WAFANYABIASHARA WENYE KAMPUNI: Utahitajika kuwa na TIN Number, Leseni ya Biashara, kitambulisho cha mmoja wa Wamiliki wa Kampuni, Ankara (Invoice) halali na iliyo kamilika ambayo itaonyesha bidhaa/huduma inayoenda kununuliwa, kiasi cha fedha za kigeni zinazohitajika, tarehe, Mnunuzi na Muuzaji.

4. ⁠Kwa wanaohitaji fedha za kigeni ili kulipia gharama za masomo au mafunzo wanahitajika kuwa na kitambulisho halali, barua kutoka Taasisi ya elimu itakayopokea malipo hayo kwa fedha za kigeni,.

5. ⁠kwa wale wanaohitaji fedha za kigeni ili kulipia gharama za matibabu wanahitajika kufika na kitambulisho halali pamoja na barua kutoka taasisi ya matibabu/hospitali itakayopokea malipo hayo kwa fedha za kigeni.
Je, Benki Kuu ya Tanzania (BOT) inalenga ku-achieve Nini kupitia kwenye hizi Kanuni?????
 
Je, Benki Kuu ya Tanzania (BOT) inalenga ku-achieve Nini kupitia kwenye hizi Kanuni?????
Wanachokidai ni kuwa kanuni hizi zitaimarisha udhibiti wa miamala, na kupunguza uhalifu wa fedha kama vile ugaidi na biashara ya dawa za kulevya. Ila sidhani kama ni kweli kwa sababu maduka mengi ya kubadilisha fedha yanamilikiwa na wao.
 
Oyaa mengine mnajiongeza siyo kila kitu tu. Kwani nyie ni vibogoyo?😡😡😡😡😡

Nyau de adriz

Shule mlikuwa wagumu kuelewa na wepesi wa kisahau sawa lakini,
hamuwezi hata kujifunza mdogomdogo kwa kuiga wenzenu hapa JF?

Hakuna kiunganishi wala rejea mtu ajiongeze nini?
Au apige ramli?
UTOPOLO
 
Post #12 nimeweka mbona au watu wanatafuta sehemu za kuondolea stress!??
 
Back
Top Bottom