Mema Tanzania
Member
- Feb 23, 2020
- 66
- 65
The Four Agreements ~ Don Miguel.
Don Miguel ni moja ya waandishi nguli duniani. Ni mtunzi wa vitabu maarufu The Mastery Love, The Voice of Knowledge na Prayers.
Katika kitabu cha The Four Agreements ameelezea kanuni kuu nne ambazo mwanadamu anaweza kujijengea na kuepuka mnyonyoro wa muongozo wa fikra za kijamii. Kanuni hizo ni;
1. Kuwa msafi na maneno unayoyatoa (Be Impeccable with your words).
2. Usichukulie vitu binafsi (Don't take things personal).
3. Usitengeneze dhahania (Don't make assumptions).
4. Siku zote fanya kwa uwezo wako (Always do your best).
Ujumbe wake: Tangu mwanadamu anapozaliwa hujengwa na kanuni za jamii ambazo nyingine kimsingi huwa ni kandamizi kwa tabaka fulani iwe jinsia, umri n.k. Don Miguel anatufundisha kusimamisha kanuni hizo na kuanza kutafuta ukweli wetu halisi.
-
Karibu #MemaReadersClub
Tufuate:
www.facebook.com/mematanzania
www.instagram.com/mema_tanzania
www.twitter.com/mematanzania
Don Miguel ni moja ya waandishi nguli duniani. Ni mtunzi wa vitabu maarufu The Mastery Love, The Voice of Knowledge na Prayers.
Katika kitabu cha The Four Agreements ameelezea kanuni kuu nne ambazo mwanadamu anaweza kujijengea na kuepuka mnyonyoro wa muongozo wa fikra za kijamii. Kanuni hizo ni;
1. Kuwa msafi na maneno unayoyatoa (Be Impeccable with your words).
2. Usichukulie vitu binafsi (Don't take things personal).
3. Usitengeneze dhahania (Don't make assumptions).
4. Siku zote fanya kwa uwezo wako (Always do your best).
Ujumbe wake: Tangu mwanadamu anapozaliwa hujengwa na kanuni za jamii ambazo nyingine kimsingi huwa ni kandamizi kwa tabaka fulani iwe jinsia, umri n.k. Don Miguel anatufundisha kusimamisha kanuni hizo na kuanza kutafuta ukweli wetu halisi.
-
Karibu #MemaReadersClub
Tufuate:
www.facebook.com/mematanzania
www.instagram.com/mema_tanzania
www.twitter.com/mematanzania