Kanuni ya Ushirika (Principle of Subsidiarity) ndani ya Jumuiya ya Afrika Mashariki

Kanuni ya Ushirika (Principle of Subsidiarity) ndani ya Jumuiya ya Afrika Mashariki

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
IMG_20201226_124828_903.jpg


Kanuni ya Ushirika ni kanuni iliyowekwa katika Ibara ya 7(1) (d) ya mkataba wa Uanzishwaji wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC Treaty, 2007) inayotaka maamuzi yoyote ya Jumuiya yaanzie ngazi ya chini kabisa ambayo ni wananchi.

Kanuni hii inatoa nafasi kwa wananchi kujadili na kuamua mambo yote ya Jumuiya kabla ya wakuu wa nchi kuamua kulingana na wananchi walivyoamua katika nchi zao juu ya jambo husika.

Kushindwa kuwapa nafasi wananchi ya kufanya maamuzi juu ya jambo lihusulo Jumuiya, maamuzi yatakayotolewa na wakuu wao yatakua yamekiuka kanuni hii na yatakuwa batili.
 
Upvote 2
Nikiangalia hiyo ramani najiuliza kwanini tusiungane tu kabusa kabisa tukawa na jinchi noja kuuubwa
Ili tuwashinde mabeberu?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom