Kanuni za bunge nazo zina udhaifu na udikteta mpina hawezi chomoka!

kipara kipya

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2016
Posts
18,833
Reaction score
23,276
Spika anasema kwa mujibu wa kanuni ni kuwa mbunge akimtuhumu mbunge mwingine ni lazima siku hiyo hiyo au nyingine awasilishe vielelezo vyake kwa spika na spika atapelekea kwa kamati ya maadili ambayo spika ataichaigua yeye na kuipenda kama sheria na kanuni za bunge zilivyompa mamlaka spika.

Wasiwasi hizo kanuni zimempa spika madaraka ya kidikteta kama alivyoonekana spika alikua na hasira anatetemeka anaweza kuichagua kamati aitakayo na akapanga watu wake kwa kamati aliyoichagua na kutoa maagizo ya kumpa mtuhumiwa adhabu kali kwa utashi wa spika hapo kuna wasi wasi mkubwa kamati ya maadili kutotoa haki kwa mpina na kufuata maelekezo ya hasira ya spika kwa kua tu kamati zote zinapokea maagizo ya spika!
 
Wakitumaliza sisi watarudi kwenu huko huko ndani

Siku zingine punguzeni ushabiki wa kipuuzi yakija masuala ya nchi

Ukiona wanaopigania haki waungeni mikono sio kuwa waimba mapambio
 
Bwashee hii ligi siyo ya Tukutuku kama ile ya Kigwangalla vs Mo Dewji

Hii Vita tunaowaona ulingoni Siyo wanaopigana πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mpina akiguswa, Tulia hatorudi bungeni.
 
ngoja utashangazwa
 
Kama hayati Sitta alivyo mfanyia hayati Lowassa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…