Kwa shule ya msingi ukijua kuupiga mwingi visichana vingi vinajipendekeza Kwako Aisee Kama sasahivi Kwenye professional game.
Ukiumia unavumilia hauchechemei ili nyumbani usijulikane kuepuka kugombezwa au kuchapwa viboko au kukandwa kwa nguvu na maji ya moto sehemu iliyoumia au kunyimwa ruhusa siku kadhaa za kucheza ( banned)
Mchezaji wa timu moja akifanyiwa rafu mbaya hakuna free kick Bali timu ya upande wa pili inalipiza kwa rafu nyingine na hapo mechi nzima inakuwa piga nikupige ya rafu na Mchezaji mmoja baada ya mungine anatoka Mpaka wote wanaisha ni Mpira unakuwa umeisha.
Na kuna mechi za vitenesi ( mpira wa tennis) Wawili against Wawili au mmoja against Mmoja , upande utakaoanza kufungwa 3 Kama ni 3-2 au 3-1 au 3-0 unatoka inangia timu nyingine
Ukiumia unavumilia hauchechemei ili nyumbani usijulikane kuepuka kugombezwa au kuchapwa viboko au kukandwa kwa nguvu na maji ya moto sehemu iliyoumia au kunyimwa ruhusa siku kadhaa za kucheza ( banned)
Mchezaji wa timu moja akifanyiwa rafu mbaya hakuna free kick Bali timu ya upande wa pili inalipiza kwa rafu nyingine na hapo mechi nzima inakuwa piga nikupige ya rafu na Mchezaji mmoja baada ya mungine anatoka Mpaka wote wanaisha ni Mpira unakuwa umeisha.
Na kuna mechi za vitenesi ( mpira wa tennis) Wawili against Wawili au mmoja against Mmoja , upande utakaoanza kufungwa 3 Kama ni 3-2 au 3-1 au 3-0 unatoka inangia timu nyingine