OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
Hili ni swali kwa wadau wote wa soka na wanasheria
Kwa mfano timu fulani endapo itamsajili mchezaji mwenye makosa ya jinai kama vile ubakaji au mauaji je kanuni zinasemaje?
Vipi kama atasajiliwa mchezaji mwenye tuhuma kama hizo Mahakamani na anatafutwa na Jeshi la Polisi kanuni zinasemaje?
Kwa mfano timu fulani endapo itamsajili mchezaji mwenye makosa ya jinai kama vile ubakaji au mauaji je kanuni zinasemaje?
Vipi kama atasajiliwa mchezaji mwenye tuhuma kama hizo Mahakamani na anatafutwa na Jeshi la Polisi kanuni zinasemaje?