OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
sijataja mtu wala jina la timu mbona unajistukiaKwani wakati Morison anasajiliwa utopolo kanuni zilikuwa zinasemaje au yule ceo wenu pia kanuni zinasemaje
......interpol wameshapa mtu wao....mbakaji...sheria za nchi hawezi kupewa work permit hadi awe cleared....na interpolHili ni swali kwa wadau wote wa soka na wanasheria, kwa mfano timu flani endapo itamsajili mchezaji mwenye makosa ya jinai kama vile ubakaji au mauaji je kanuni zinasemaje? Vipi kama atasajiliwa mchezaji mwenye tuhuma kama hizo mahakamani na anatafutwa na jeshi la polisi kanuni zinasemaje?
Kanuni inasema timu inayolalamika mchezaji huyo kusajiliwa iende CASHili ni swali kwa wadau wote wa soka na wanasheria, kwa mfano timu flani endapo itamsajili mchezaji mwenye makosa ya jinai kama vile ubakaji au mauaji je kanuni zinasemaje?
Wewe topolo nenda kawaambie polisi wamkamate Babacar Sarr yuko paleee SSC amekaa.Hili ni swali kwa wadau wote wa soka na wanasheria, kwa mfano timu flani endapo itamsajili mchezaji mwenye makosa ya jinai kama vile ubakaji au mauaji je kanuni zinasemaje? Vipi kama atasajiliwa mchezaji mwenye tuhuma kama hizo mahakamani na anatafutwa na jeshi la polisi kanuni zinasemaje?
Hivi huko alikokuwa anacheza Us monastery nadhani ni Tunisia hawana ushirikiano na interpol!......interpol wameshapa mtu wao....mbakaji...sheria za nchi hawezi kupewa work permit hadi awe cleared....na interpol
dada unaogopa kubakwa?Hili ni swali kwa wadau wote wa soka na wanasheria, kwa mfano timu flani endapo itamsajili mchezaji mwenye makosa ya jinai kama vile ubakaji au mauaji je kanuni zinasemaje? Vipi kama atasajiliwa mchezaji mwenye tuhuma kama hizo mahakamani na anatafutwa na jeshi la polisi kanuni zinasemaje?
jikite kwenye hoja kama hujui kaa kimya subiri wenye akili watajibudada unaogopa kubakwa?
Yaani na wewe unaona kabisa umeleta hoja? Mtajadili wenyewe kasoro JK na Baba Manarajikite kwenye hoja kama hujui kaa kimya subiri wenye akili watajibu
Wewe ni wa kiume au wa kike?sijataja mtu wala jina la timu mbona unajistukia
Tusubiri clearance from interpol .....mbakaji hawezi kunajisi ligi yetuHivi huko alikokuwa anacheza Us monastery nadhani ni Tunisia hawana ushirikiano na interpol!
Umeshajibiwa tangu jana. Kwanini Bado unaangaika tu. Usitusumbue bwanaHili ni swali kwa wadau wote wa soka na wanasheria, kwa mfano timu flani endapo itamsajili mchezaji mwenye makosa ya jinai kama vile ubakaji au mauaji je kanuni zinasemaje? Vipi kama atasajiliwa mchezaji mwenye tuhuma kama hizo mahakamani na anatafutwa na jeshi la polisi kanuni zinasemaje?
Mkuu kwa ulaya kesi za jinai sometimes ni vichekesho tu mfano ni kilichomtokea Mason GreenwoodHili ni swali kwa wadau wote wa soka na wanasheria, kwa mfano timu flani endapo itamsajili mchezaji mwenye makosa ya jinai kama vile ubakaji au mauaji je kanuni zinasemaje? Vipi kama atasajiliwa mchezaji mwenye tuhuma kama hizo mahakamani na anatafutwa na jeshi la polisi kanuni zinasemaje?
Ana makosa au anatuhumiwa? Umetumia ushabiki badala ya akili.Hili ni swali kwa wadau wote wa soka na wanasheria, kwa mfano timu flani endapo itamsajili mchezaji mwenye makosa ya jinai kama vile ubakaji au mauaji je kanuni zinasemaje? Vipi kama atasajiliwa mchezaji mwenye tuhuma kama hizo mahakamani na anatafutwa na jeshi la polisi kanuni zinasemaje?
Hili ni swali kwa wadau wote wa soka na wanasheria, kwa mfano timu flani endapo itamsajili mchezaji mwenye makosa ya jinai kama vile ubakaji au mauaji je kanuni zinasemaje? Vipi kama atasajiliwa mchezaji mwenye tuhuma kama hizo mahakamani na anatafutwa na jeshi la polisi kanuni zinasemaje?
Hata Benjamin Mendy ambaye kesi yake kashinda wamemuharibia maisha yake sana. Guardiola alikuwa haachi kumpanga.Mkuu kwa ulaya kesi za jinai sometimes ni vichekesho tu mfano ni kilichomtokea Mason Greenwood
Sasa wewe dada mipasho ya nini?Hili ni swali kwa wadau wote wa soka na wanasheria, kwa mfano timu flani endapo itamsajili mchezaji mwenye makosa ya jinai kama vile ubakaji au mauaji je kanuni zinasemaje? Vipi kama atasajiliwa mchezaji mwenye tuhuma kama hizo mahakamani na anatafutwa na jeshi la polisi kanuni zinasemaje?