mwakavuta
Member
- Sep 22, 2020
- 99
- 306
1. Sabuni ikianguka bafuni ndo siitumii tena najimwagia maji natoka.
2. Nikiangusha dodoki wakati wa kuoga hata kama ndo nimeanza imeisha hiyo.
3.Nikioga lazima nibakize maji ya kitosha niyamwage hata kama maji ni machache kiasi gani
4. Nikilewa lazima nitafute mtu wa kumsumbua kwenye simu. Hapa ndo mitongozo isiyo rasmi inaanza.
5. Namiliki pea moja ya soksi niivae hadi itoboke ndo ninunue nyingine na hela ipo, Kuzifua mara 1 kwa wiki mbil[emoji2][emoji2]
6. Nyumbani mimi ndo tbs ya chakula kikinishinda hakuna anayekula kinamwagwa.
7. Nikitaka kukata urafiki na mwanamke Namtongoza probability ya kunikataa kimapenzi na urafiki ni asilimia 90.
2. Nikiangusha dodoki wakati wa kuoga hata kama ndo nimeanza imeisha hiyo.
3.Nikioga lazima nibakize maji ya kitosha niyamwage hata kama maji ni machache kiasi gani
4. Nikilewa lazima nitafute mtu wa kumsumbua kwenye simu. Hapa ndo mitongozo isiyo rasmi inaanza.
5. Namiliki pea moja ya soksi niivae hadi itoboke ndo ninunue nyingine na hela ipo, Kuzifua mara 1 kwa wiki mbil[emoji2][emoji2]
6. Nyumbani mimi ndo tbs ya chakula kikinishinda hakuna anayekula kinamwagwa.
7. Nikitaka kukata urafiki na mwanamke Namtongoza probability ya kunikataa kimapenzi na urafiki ni asilimia 90.