Hahahahaaa, mimi nikadhani ulivyokaa kimya wewe ni mjanja lakini umerudia yaleyale.
Hebu tuliza kichwa kwanza angalia acc original ya Davido instagram na hiyo kama zinaendana.
mim sitaki niokane mjanja maana silipwi wala hainipunguzii kitu,
Sasa tupenni ushahidi kama mnabisha maana kila kitu mnabisha
Ukiona kimya ujue nimetoka mtandaon nafanya mambo mengine nikipata kama hivi narudi,maana sishindani