Tanzania Railways Corp
JF-Expert Member
- Mar 23, 2018
- 251
- 595
Wasipokanusha kuna matapeli watapata mwanya ya kuwaliza watuKila kitu mnakanusha ...mnauwa vibe ..
Mnatukata stimu.
Alipewa projection ya uongo na wakandarasiNilimsikia Waziri Mkuu akisema hii treni ingeanza huduma Nov. 2019. Hadi leo kimyaaa. Labda ndiyo maana watu wameanza uzushi
Mvumilivu hula mbivu, haraka haraka haina barakaPengine wananchi wamechoka kusubiri..maana waswahili husema ngojangoja yaumiza tumbo
BTW asante kwa taarifa
Ngoja ngoja mwisho utakuta mwana si wakoMvumilivu hula mbivu, haraka haraka jaïna baraka
Tutawaletea taarifa rasmi hivi karibuniKwa hiyo itaanza lini?
Umenifanya nimecheka kwa sauti thanksTutawaletea taarifa rasmi hivi karibuni
Duh kwanini rafiki mwema niliyekumissUmenifanya nimecheka kwa sauti thanks
[emoji3064][emoji3064][emoji3064] kutakuwa na vituo vyenye hyper generatorsKuna jamaa alikuwa anasema kwa hii shida ya umeme kukata kata hiyo treni inabidi behewa moja liwe pawa benki[emoji1787]
Nilimsikia Waziri Mkuu akisema hii treni ingeanza huduma Nov. 2019. Hadi leo kimyaaa. Labda ndiyo maana watu wameanza uzushi
Huku kwetu imeisha navionaga viberenge had usk vinapita naskia mtikisiko sijui muungurumoDar moro itaanza rasmi April ama May 2021. Mkandarasi yupo site
🤣🤣🤣Umesikia vibaya ni Nov 2029 [emoji16][emoji16][emoji16]