Kanusho la taarifa ya kuanza kwa huduma za safari za treni za kisasa Dar es Salaam - Morogoro

Sasa si uyo mtu ameweka namba ya simu hapo Mumukamate.
 
Kuna jamaa alikuwa anasema kwa hii shida ya umeme kukata kata hiyo treni inabidi behewa moja liwe pawa benki[emoji1787]
[emoji3064][emoji3064][emoji3064] kutakuwa na vituo vyenye hyper generators
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…