Ndio, ni kweli kabisa. Imagine mtangazaji amuulize Star wa kibongo swali kama Hilo! Ni wazi atakuwa anajitafutia matatizo Bure.Ingekuwa bongo hili lingekuwa ni tusi 😂
Ampigie mara ngapiii? [emoji23][emoji23][emoji23]Inawezekana ameshaanza kumpigia puli kabisa
We kila mtu kwako ni kichaa!!Ila Kanye akapimwe akili, lazima ana ukichaa
GESHI RA PORISHIIngekua Bongo, tayari had muda huu Kanye angekua chini ya Police.
Siyo Bongo tu hata dunia ya kwanza, hujui wenye mamlaka jinsi walivyo na all connections, wakiamua kufanya umafia ni kugusa tu?Ampigie mara ngapiii? [emoji23][emoji23][emoji23]
shoga la jf vipi?mzuka?GESHI RA PORISHI
😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌
Wizo naona aibu 🙈🙈🙈