miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,811
- 49,053
Hiiiiii power!Get off your slave ships, build your own pyramids, write your own hyelogriphs......
Aint nothing like Hiii power.....Hiiiiii power!
Man...u r now clearly placing ua eyes n ears on a nigger send his shits to a fellow brodah....What a shame to watch one of the greatest artists on self destruction. From ranting, to snitching on your "friends". Hov's gon' keep his grill tight, as he often does, while wall-building Kanye out.
Are we ever gonna see this Kanye, again?
What destiny?Every man has a right to decide his own destiny-Bob Marley
It can be heaven or hell.It depends on your choice.What destiny?
Kanye has always been outspoken, but this one time was way off guard. I was gonna buy a ticket to go to one of his concert but not anymore. As a huge Kanye Stan I was really disappointed, I hope he gets treated.
Mkuu namkubali Kanye kuliko msanii yeyote yule, he's my fav. $300 kwenda kwenye show ya Kanye si mali kitu kwangu, nishaspend zaidi ya hiyo kwenda kwenye show za kipuuuzi tu hapo hujaweka usafiri na hotel. Yeezus tour nilienda na total cost niliyotumia ilikua maradufu.Kwanza hata kama ungetaka kununua hiyo tiketi usingepata kwa maana zote zilikuwa sold out na ilikuwa ni dola 300 kwa pua, hivyo hata kama haumind Kanye usingempunguzia kitu!
Halafu nadhani kuna kitu hujui kuhusu shows kuwa sold out, kuna kampuni hununua tickets zote za show fulani show ikitangazwa tu mf ticket Master hata tickets za games huzinunua zote halafu ndiyo wanaanza kuuza wao kwa gharama ya juu kiasi so yule mwenye show anapokea mkwanja wake full Ila ticket zinaendelea kuuzwa.Kwanza hata kama ungetaka kununua hiyo tiketi usingepata kwa maana zote zilikuwa sold out na ilikuwa ni dola 300 kwa pua, hivyo hata kama haumind Kanye usingempunguzia kitu!
Mkuu hao wanatengeneza kick tu. Ni kama huku kwetu beef ya diamond na ommy dimpoz... Ukicheck beef zao za fanana kwani hawa wote ni watu ambao walikuwa wakipendana na kupatana sana lakin now warushiana vijembe kwa social media.Kwani Jay Z NA Beyonce si Ni Rafiki zake.Wamemkosea nn au wivuuuu
hahahaha...juma ni mkemia jamaniKama unataka uhalali wa kwa nini watanzania wanlalamika Juma hajui English-language, basi uzi huu utakusaidia!