Kanye West amtumbua jipu Jay Z

Wewe ungekuwa na hela usingekuja kubanana na sisi kwenye jukwaa la umbea, nadhani unaham ya kukalia
Sio kila aliyehumu ni kapuku au hajiwezi kifedha,
Hatupendi kujionesha [emoji1] [emoji2] [emoji2]
Halafu unaonekana unapenda maisha ya kistaa, kifahari, hujui wenzio wamepitia magumu na marahisi yapi mpaka kufikia alipo.

Mm nimekuonya kuwa usipende kusikiliza umbea wa mjini sijui kanye west Mara jay z.
Wale wanatengeneza skendo kuingiza hela kama ulikuwa hujui sasa.
Ona ile album ya Beyonce inaitwa LEMONADE inamhusu kumkashifu mumewe na kumdhalilisha sana kwa maneno ya dhihaki na kejeli, ambaye ni jay z. Kumbuka hawa wanatengeneza pesa kuwavuta wajinga kama nyinyi kupenda kusikia umbea tuuu..
 
Wewe mtoto mchelemchele hela uzitoe wapi
 
Huu ni ugomvi wa Kim vs Beyonce....Kanye kaingizwa mkenge na mke wake_sababu ya uboya wa kutawaliwa na mke wake kaenda ropoka ujinga juu ya Jigger....Jay Z sina mashaka naye....kwa hili atakaa kimya na kumdharau Kanye.
 
Kanye chizi lakini hapo kapasua point tupu. Kisa kama hiki ndio kiliwahi kutokea hata G-Unit, washkaji walikuwa wanamuona 50-Cent how come kwa kujiona bab kubwa. How come uko na mshkaji wako daily unapiga nae dili hata siku moja usimuulize mtoto wako anaitwa nani? Sasa huyo ndio 50 sasa!
 
Kajipandisha chati kwa sababu ya Beyonce ama?
 
Hiyo ya kutokwenda kwenye harusi ni Beyonce ndio aliweka ngumu, Beyonce hamkubali kabisa Kim Kardashian na jinsi alivyopata umaarufu wake
Beyonce ana wivuu hatareeee...

Kingine jigga kaishamlamba Kim na Beyonce anajua!

La mwisho Beyonce hataki ukaribu na Kim, coz anahisi atamchukulia Jigga wake.
 
Jigga sifa nyingi wakati zama zake zishaisha,, anabaki kubania tu watu mfano kazui yeezy kufanya joint album na dreezy kisa bifu la apple & tidal yake
 
We jamaa kiazi sana aisee!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…