Kanye West anatuuzia controversies na hype.....

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,344
Reaction score
9,066
Sanaa inahitaji akili nyingi sana na mmoja ya wasanii wanaowekeza sana kwenye creativity ni Kanye West.

Kwa kifupi Donda ni album average tu sio kali kihivyo ila inafanya vizuri sababu ya matukio na hype.

Kuna kipindi msanii unakuwa umeshaimba kila kitu ushafanya kila kitu inaitajika akili ya ziada. Kanye amekuja na matukio controversial kama kumfuta Brizzy kwenye nyimbo, mara Jigga anafutwa kwenye album kumbe yumo, listening party ya kibabe, sound engineer kafukuzwa katikati ya safari.

Kiufupi kafanikiwa sana kwenye strategies zake na kamfunika Drake.
 
Donda sio album ya average. Ile ni garbage album ila chawa ndio wanakomaa kuiona ina maana
kila mtu na kind of music anaopenda.

Mfano Essence ya Wizkid kwa africa mliona ni garbage ila Marekeani imefanya mabalaa hadi sasa anapiga tour yenye mafanikio makubwa saaana all ticket sold out.

kwangu mimi Donda ni album bora na kali kuliko album nyingi zilizotoka mwaka huu.
 
Donda ni umaarufu wa Kanye West unaoifanya iwe streamed ila hamna kitu
 
The College Dropout, Late Registration na Graduation ndio albums bora za Kanye West kwangu. Donda ni kelele
 


Hapo kwenye kumfunika Drake naomba kutofautiana na naamini CLB ni bora sana kuliko Donda
 
Mkuu Kanye namkubali sana lakini hajamfunika Drake. CLB inatarajiwa kuuza 600k copies first week bila promo, wakati Kanye ameuza 300k kwa manjonjo makubwa na hype.
 
Hapo kwa wiz upo sahihi sana hii ngoma sikuielewa mwanzoni ila ipofika kule majuu ndio nikajua rasmi kuna kitu special ndani yake......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…