Kanye West aungana na Wanaijeria kupinga ukatili wa polisi

Kanye West aungana na Wanaijeria kupinga ukatili wa polisi

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
KANYE WEST AUNGANA NA WANAIJERIA KUPINGA UKATILI WA POLISI

Mwanamuziki yota wa muziki wa hiphop wa Marekani, Kanye West ameungana na Raia wa Nigeria wanaoandamana kupinga ukatili wa polisi nchini humo

Kutokana na ghasia zinazoendelea nchini humo serikali ilivunja Kikosi chake maalum cha Polisi (SARS) kinachohusika na kukabiliana na makundi ya uhalifu na wahuni

Uamuzi uliokuja baada ya maandamano ya Wananchi kutokana na madai ya vitendo vya ukatili kutoka kwa Polisi hao na Mamlaka zimesema zitafanya uchunguzi kuhusu shughuli za Kikosi hicho

Watu maarufu wa Nigeria pia wameonekana kuungana na wananchi katika maandamano, akiwemo msanii Davido ambaye picha zake zilitapakaa akiwa kwenye maandamano


2020-10-13.png
 
Root acha uongo banaa [emoji23][emoji23][emoji23]
Trust me. Nilienda hadi monument ila nilienda kistaarabu na vitambulisho vyote nikakuta police wamejaa na virungu nikasema leo ambao wangejudanganya wangeipata
 
Trust me. Nilienda hadi monument ila nilienda kistaarabu na vitambulisho vyote nikakuta police wamejaa na virungu nikasema leo ambao wangejudanganya wangeipata

hahahahahah ulivyoona hapaeleweki ukajiondokea polepolee
 
[emoji23][emoji23][emoji23] leo umenichekesha
Afu lile jinga likahama Chama. Nilikesha pale Kinondoni nimeacha madogo nilioachiwa wamelala nikasema wacha nikaroll. Bomu za machozi gizani acha
 
Back
Top Bottom