Kanye West kafirisika lakini anaweza kutajirika zaidi ya alivyokuwa

Kanye West kafirisika lakini anaweza kutajirika zaidi ya alivyokuwa

Ben Zen Tarot

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2014
Posts
4,298
Reaction score
7,612
Ingawa binadamu hatupendi kutangaza mafanikio ya watu ukweli ni kwamba Kanyewest anakwenda kutajirika kwasababu United (benki inayomilikiwa na watu weusi) imempa nafasi ya kuwekeza pesa katika benki hiyo.

Rasmi ana udhibiti wa 100% juu ya brand yake ya Yeezy.
Ana zaidi ya dollar milioni 800 ukizileta Tanzania ni Tsh 1865812008800.00 TZS taslimu soma usikike.
Makumi ya mamilioni ya watu bado wako tayari kuunga mkono chapa ya Yeezy. .

Atafungua maduka ya Yeezy kote nchini Marekani na kuajiri watu wengi na pia kuuza nguo za bei nafuu.
Isitoshe ingawa mauzo ya muziki wake yameshuka kutokana na vikwazo alivyo wekewa bado anaingiza dola milioni 20 kwapesa za Tanzania ni milioni 46645300220.00 TZS kwa mwezi katika malipo ya muziki. .

Watu wanataka ionekane Kanye West anapoteza lakini amepata uhuru wake katika kazi zake kwa 100% na anakusanya haibaki hata senti katika mikono ya mtu.

FB_IMG_1668007117860.jpg
 
Kanye West ni mzuri sana kwenye kuwekeza kibiashara lakini pia anamatatizo yake binafsi

Inategemea unaichukulia issue yake katika angle ipi
Ukitaka kupotezwa hapa duniani basi tibuana na Jews

Usije kushangaa anapewa kesi ya kubaka miaka 20 iliuopita
 
Kanye West ni mzuri sana kwenye kuwekeza kibiashara lakini pia anamatatizo yake binafsi

Inategemea unaichukulia issue yake katika angle ipi
Ukitaka kupotezwa hapa duniani basi tibuana na Jews

Usije kushangaa anapewa kesi ya kubaka miaka 20 iliuopita
kama R Kelly alivyofanyiwa fugisu
 
Economic analysts wanasema kiuhalisia sasa ndiyo atatajirika zaidi, Adidas na Balenciaga ghafla bin vuu mapato yao yameshuka sana na brands zimeshuka thamani.

As the matter of fact Adidas imekula hasara na trend zinaonyesha muendelezo wa kula hasara kwa Marekani ndiyo the current situation wako almost kwenye zero.
 
Kweli kabisa. "Tembo hata akonde vipi, lakini hawezi kuwa kama swala"

Mkuu hii dunia kuna mambo mengi hatuyajui

Wenye dunia yao wakiamua kudeal naye toe to toe atakonda zaidi ya swala

Hebu chimba kilicho mkuta maiko jakisoni au maiki taisoni

Kilicho wakuta sio konsipiransi ni rialite
 
Mkuu hii dunia kuna mambo mengi hatuyajui

Wenye dunia yao wakiamua kudeal naye toe to toe atakonda zaidi ya swala

Hebu chimba kilicho mkuta maiko jakisoni au maiki taisoni

Kilicho wakuta sio konsipiransi ni rialite
Au siyo Mkuu?!
 
Back
Top Bottom