Kanye West na Bianca Censori wanakaribia kuachana

Walifunga ndoa ya mkataba for 2 years na mkataba wao ndio unaishia, Bianca anavuta mpunga wake anaendelea na maisha.
Huyo Bipolar Kanye akatafute mjinga mwingine wa kumdhalilisha in a name of money.
Bullshit.
 
Kuna wengine kusikia wameachana ni kitu cha kawaida.
 
Walifunga ndoa ya mkataba for 2 years na mkataba wao ndio unaishia, Bianca anavuta mpunga wake anaendelea na maisha.
Huyo Bipolar Kanye akatafute mjinga mwingine wa kumdhalilisha in a name of money.
Bipolar vs mjinga.... hahahaahaaaa...

"Crazy, Bipolar I'm still the king....." - Ye

We unateseka tokea wapi? Miili ya watu yakuwashia nini?... Unadhani wakiingia huo mkataba wao kama kweli upo Bianca hakujua expectations za Ye!!! Kim alikatwa live na Ray J na bado akaolewa na Ye, leo anatamaniwa na wanaume dunia mzima.... life is all about choices, mind you, commoners live a boring life anyways.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…