Kanye West Skips Tanzania on East African Tour


Haha, kwani wakija Tanzania wanakuambia, we respect their privacy. Usishangae tukikutupia vipicha vya ....... [emoji23]
 

So a headline highlighting story of the youngest billionaire kidnapped in your country you consider that as brainwashing, such news featuring live on CNN is not something to be proud of you CCM diehards, you're definitely taking your country the wrong way but blinded by party politics.

CNN coverage can not be compared with your miniature media that is always glued to SHILAWADU type of genre

CNN’s two dozen branded networks and services are available to more than 2 billion people in more than 200 countries and territories.
CNN has 36 editorial operations around the world and around 3,000 employees worldwide.
CNN’s coverage is supplemented and carried by more than 1,000 affiliates worldwide.
CNN reaches 91 million households in the U.S.
CNN Digital is the number one online news destination, routinely registering nearly 200 million unique visitors globally each month.
CNN International reaches more than 373 million households worldwide
 

Teh teh teh tihiii
SINDANO imekuingia
ahaaa haaa haaa
punguza povu bwana mdogo. nothing is special with CNN. I take it like other tabloids. no wonder it loses several defamation cases.
kwa sababu mkikuyu mwenzako koinange alikuwa akiripotia huko -ve news about Kenya and the continent at large, basi ndo unaona ina staff kutoka mbinguni. ahaaa haaa haaa
 
Unaona walivyo waoga hawa jamaa, wakisemwa na international media kidogo tu, basi kwao dunia ndio imekwisha. Huyo Mk254 sijuwi amesahau Kenya Hotbed Of Terror.
 
Unaina walivyo waoga hawa jamaa, wakisemwa na international media kidogo tu, basi kwao dunia ndio imekwisha. Huyo Mk254 sijuwi amesahau Kenya Hotbed Of Terror.

Teh teh teh tihiii
sisi waTanzania tangu zamani ni wajeuri. kuna NCHI kibao tulizifurusha licha ya kutupatia misaada. hatutaki ujinga, tunajali sana UTU badala ya VITU.
 

Povu kivipi, nakupa facts sio kitu kizuri kutajwa tajwa kwa mabaya na kituo cha habari cenye coverage inayotoshana na idadi ya Tanzania zaidi ya hamsini hivi.
Leo hii nyie ndio mumepewa sifa ya Afrika ya kuteka bilionea mwenye umri mdogo, juzi sifa yenu kubwa ilikua nchi ya kipekee duniani inayowachinja albino....sijui huwa mna laana gani na ndio maana mpo maskini miaka yote hii pamoja na kuwa na kila aina ya raslimali.
 
Sasa nani anahitaji lunatic kama Kanye West kwenye nchi yake?

The dude is a mild retarded black man!

Kwa kifupi jamaa ni mkichaa fresh kabisa!

Labda tumpeleke Mirembe Hospital
 
Reactions: Oii

Ahaaa haaa haaa
bado maumivu hayaja kuisha, na NDIYO maana unatafutiza issues hata zingine hazihusiani, ili mradi ujitulize moyo.
fyi hata your mighty CNN itangaze nini, MAMBO yetu yataenda kama KAWAIDA, dat has zero correlation.
 
Teh teh teh tihiii
sisi waTanzania tangu zamani ni wajeuri. kuna NCHI kibao tulizifurusha licha ya kutupatia misaada. hatutaki ujinga, tunajali sana UTU badala ya VITU.

Ndio hapo tunaposhidwana na hao wakenya, wakitishiwa nyau kidogo tu,wana mbio huku wakitubu dhambi zao.
 
Naona watu wanaushabiki tu lakini Hawa wenzetu wa Ulaya hawafanyi kitu kwa hasara au kuja kutembea tu. Mfano miaka michache iliyopita tulimwona Dennis Rodman (Retired NBA player) akienda kumtembelea Rais wa North Korea, je alikuwa anatembea tu au alikuwa kwenye CIA mission? Je Kanye West alikwenda kutembea Uganda na Kenya na kutoa zawadi ya Viatu tu? Je Prince William alikuja kutembea Africa?
 
Ahaaa haaa haaa
bado maumivu hayaja kuisha, na NDIYO maana unatafutiza issues hata zingine hazihusiani, ili mradi ujitulize moyo.
fyi hata your mighty CNN itangaze nini, MAMBO yetu yataenda kama KAWAIDA, dat has zero correlation.

Hamna kisichohusiana, lakini level ya uwezo wako wa kufikiri haiwezi kuunganisha dots za umaskini wenu na hayo mambo yenu ya kiajabu ajabu mnayotajwa na kuhusishwa nayo dunia yote, siku zikiisha zile buku saba niliskia mnapewanga za kutetea tetea hayo maovu yote mitandaoni, ndio utaanza kuelewa.
 

Teh teh teh tihiii
SINDANO bado inafanya KAZI.
sasa hapo ndo umeongea NINI?
Ahaaa haaa haaa
 
Teh teh teh tihiii
SINDANO bado inafanya KAZI.
sasa hapo ndo umeongea NINI?
Ahaaa haaa haaa

Hutoelewa hadi ukombolewe, wacha na mimi niige hizo ahaahaaa zako, hivi huwa unazicheka vipi, hebu weka audio maana isije tokea ni ile micheko ya kina dada zetu wa Pwani.
 
Hutoelewa hadi ukombolewe, wacha na mimi niige hizo ahaahaaa zako, hivi huwa unazicheka vipi, hebu weka audio maana isije tokea ni ile micheko ya kina dada zetu wa Pwani.

Ahaaa haaa haaa
wadada hawana sauti pana na nzito.
back to the topic. CNN has nothing to do with our deeds.
sisi tunajitambua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…