Hapana mazee..ni ktk kuwekana sawa tu..
Kuna mdau alikuwa amesema kuwa binti ni pure black?..mdau mwingine akaendelezea..sasa mie nika-educate tu kuwa mtoto ni chotara...au kuna kweere ?
Abdul, kutokana na hizi picha tu, mimi nakaona ni ka - weirdo fulani hivi...i dunno..
He he he..Stop hating mazee..Hebu ona kila mdau anavyotoa flag? over 99% wametoa alama 100/100 ..wewe tu!
NWYS, kukata mzizi wa fitnah itabidi utuletee picha ya naninihii wako tui-assess na ku-cross-check 'mapendeko' yako. ..just a thought.
yes i am!...unaulizia ulanzi Iringa?!
yes i am!
utaunywa lakini Abdul?!
yep !
Huyu demu si inasemekana alikuwa ana make out na Chris Brown kwenye party ya Diddy wikendi iliyopita.
mbona hata uzuri wake siuoni mie...nyie wanaume sijui huwa mwaangalia nini, macellulite kibao! infact she is scary!!!
Kheri ya nusu shari kulikoshari kamili niafadhali macellulite alizonazo kuliko kukumbana na Makovu .
Kheri ya nusu shari kulikoshari kamili niafadhali macellulite alizonazo kuliko kukumbana na Makovu .
hehehehe... Lakini kusema ukweli mamanzi wa Africa ni wasupa, pia huyu ana descent ya huku huku Africa. we proud of y'all... Lakini I prefer bigger (as in hips, azz n all) than whats presented to ma homey Kanye.
Unajuwa mkuu una prefer bigger as in hips, azz n all ni kweli kunakuwa na enjoyment fulani ,lakini hawapo flexble ukilinganisha na hao wengine,kuna mengi ndani yake lakini haitakuwa busara kuyaeleza kwani itakuwa ni kinyume na Madili ya Mtanzania.