Rjohn
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 613
- 128
Tafadhali nisaidie kwaushauli wa huduma yakwanza ya haraka mdogo wangu nilimuagiza kret ya soda akiwa njian moja ikapasuka chupa katikat ikiwa imebaki soda kidogo akanywa kias tumbo likaanza kumuuma ndipo akaniambia nimempa maziwa mabichi ametapika kidogo natudam tupo, niko mbali nahospitali nifanyeje kama huduma yakwanza kumsaidia zaidi nikielekea hospital