kidadari
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 8,647
- 9,604
Duniani kumekuwa na magonjwa mengi na matibabu yake yamekuwa complicated kidogo, mengine yanahitaji historia ya mgonjwa ili kuweza kumtibu na mengine yapo complicated kiasi unaweza kutibiwa hospitali 4 na ile ya nne ndo ukapata tiba sahihi.
Mwezi wa 7,2020 nilimpeleka mjomba wangu hospitali fulani baada ya kumwona Daktari , Daktari aliomba apelekewe taarifa za awali alizopata matibabu kabla ya kumtibu basi tukafanya mchakato zikapatikana baada ya siku 3 akaanza matibabu mapya ambayo yalipelekea ahueni kubwa na tunatagemea hali ikiendelea vizur atapona kabisa.
Katika kuongea na yule Daktari alituambia kama angeamua kufuata maelezo yetu bila kujua dawa alizopata awali kuna uwezekano mkubwa angefariki maana dawa alizotumia awali na alizotaka kumpa reaction yake ni mbaya sana.
It means huyu Daktari anajua kazi yake, vip tungekutana na Daktari ambaye anajali fedha tuu mambo yangekua mabaya zaidi.
Ombi langu kuwe na DATABASE nchi nzima ambayo hospitali za umma na za binafsi kiasi mgonjwa akienda hospitali yoyote iliyosajiliwa Daktari au wahudumu wa afya wanaweza kupata taarifa zake zote za ugonjwa bila ya kumwuliza mgonjwa kwa kua sio wote waoaweza kujieleza kwa ufasaha na sio wote wana kumbukumbu sahihi. ..
Mtaji wako Afya yako.
Mwezi wa 7,2020 nilimpeleka mjomba wangu hospitali fulani baada ya kumwona Daktari , Daktari aliomba apelekewe taarifa za awali alizopata matibabu kabla ya kumtibu basi tukafanya mchakato zikapatikana baada ya siku 3 akaanza matibabu mapya ambayo yalipelekea ahueni kubwa na tunatagemea hali ikiendelea vizur atapona kabisa.
Katika kuongea na yule Daktari alituambia kama angeamua kufuata maelezo yetu bila kujua dawa alizopata awali kuna uwezekano mkubwa angefariki maana dawa alizotumia awali na alizotaka kumpa reaction yake ni mbaya sana.
It means huyu Daktari anajua kazi yake, vip tungekutana na Daktari ambaye anajali fedha tuu mambo yangekua mabaya zaidi.
Ombi langu kuwe na DATABASE nchi nzima ambayo hospitali za umma na za binafsi kiasi mgonjwa akienda hospitali yoyote iliyosajiliwa Daktari au wahudumu wa afya wanaweza kupata taarifa zake zote za ugonjwa bila ya kumwuliza mgonjwa kwa kua sio wote waoaweza kujieleza kwa ufasaha na sio wote wana kumbukumbu sahihi. ..
Mtaji wako Afya yako.