Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Bondia Shabani Kaoneka ambaye amepiga kwa TKO Karim Mandonga amesema yupo tayari kwa pambano la marudio
Amesema kama atarudia pambano hatofanya mazoezi kwa kuwa anaujua udhaifu wa Mandonga
Kaoneka na Mandonga wamepigana kwa mara ya pili ambapo mara zote Kaonekana ameonesha ubabe kwa TKO
Amesema kama atarudia pambano hatofanya mazoezi kwa kuwa anaujua udhaifu wa Mandonga
Kaoneka na Mandonga wamepigana kwa mara ya pili ambapo mara zote Kaonekana ameonesha ubabe kwa TKO