Analogia Malenga JF-Expert Member Joined Feb 24, 2012 Posts 5,108 Reaction score 10,191 Jul 31, 2022 #1 Bondia Shabani Kaoneka ambaye amepiga kwa TKO Karim Mandonga amesema yupo tayari kwa pambano la marudio Amesema kama atarudia pambano hatofanya mazoezi kwa kuwa anaujua udhaifu wa Mandonga Kaoneka na Mandonga wamepigana kwa mara ya pili ambapo mara zote Kaonekana ameonesha ubabe kwa TKO
Bondia Shabani Kaoneka ambaye amepiga kwa TKO Karim Mandonga amesema yupo tayari kwa pambano la marudio Amesema kama atarudia pambano hatofanya mazoezi kwa kuwa anaujua udhaifu wa Mandonga Kaoneka na Mandonga wamepigana kwa mara ya pili ambapo mara zote Kaonekana ameonesha ubabe kwa TKO
Mtafiti77 JF-Expert Member Joined Oct 31, 2011 Posts 1,877 Reaction score 2,314 Jul 31, 2022 #2 Wanasema Mandonga kama kuku wa kutaga,kelele kibao yai lenyewe moja tu. Dah!
Tate Mkuu JF-Expert Member Joined Jan 24, 2019 Posts 33,092 Reaction score 96,127 Jul 31, 2022 #3 Yule Mandonga ukimuona akifanya yale mazoezi yake ya kupiga miti kiasi cha kuondoa maganda yake, unaweza ukadhani ni bondia hatari kweli. Akiwa ulingoni sasa! hata huwezi kuamini namna alivyo mwepesi.
Yule Mandonga ukimuona akifanya yale mazoezi yake ya kupiga miti kiasi cha kuondoa maganda yake, unaweza ukadhani ni bondia hatari kweli. Akiwa ulingoni sasa! hata huwezi kuamini namna alivyo mwepesi.
Dormant Account JF-Expert Member Joined Apr 5, 2022 Posts 11,308 Reaction score 32,757 Jul 31, 2022 #4 ππππππ