Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,746
umeona eehhhh!tehtehtehteh mwenzio nilikuwa nafanya masikhara jana, sasa km huku mambo ni real sasa huoni kuwa Fixed Point atakukimbia!
Mrs Bishanga na mwenzie Zahra White kam zis weyi
niko kwenye ka nokia torch,kisa na mkasa?
uchokozi sasa,waje kufanya nin?
shem shem..... usimwongezee pressure dadangu Mamndenyi
hiyo ya kusubiri majibu ya hechiaivii tu inamtosha, unataka aresti in pisi?
Mrs Bishanga na mwenzie Zahra White kam zis weyi
Basi ngoja niishie hapa!
Pole lakini
Heaven on earth
mimi sinaga pressure
wangu yupo tu.
Madogo naona wamekula kona
hawanusi hii kitu ya Bishanga kabisa.
liombe hilo jini mahaba likurudishe lilikokutoawe acha tu naona jini mahaba limeninyanyua ghafla likanitupa kwa Fixed Point
Mamndenyi mi naogopa kwenda aisee,kanichukulie
mume wa mtu sumu..... tena hasa akiwa wa dadako, nani atakupa maziwa?