kapo feki na za ukweli cc hizi hapa

mimi kwanza naomna niulize.... na hili ni innocent question........
kwani kuna kapo za ukweli huku cc? mi najua zote zinaishia hapa hapa cc.....
sasa hata kama hawajuani sura zao inahuu? la maana wanakutana hapa cc na ndoa inaendelea......

yangu ya ukweli ndani na nje ya cc ndo maana haivunjiki
 
c6 kwa taarifa yako charminglady anaku cheat na Chimbuvu,kalaghabao na ubozi wako!

Tatizo lako Bishanga hushauriki !
Kumbuka mwaka juzi tulikuadivais usifanye "Analysis circumstances" wakati ukiwa uko pombe?
Dekshia sasa! Vya true umevipa false!
Na untrue umevifanya true! Ona kinywaji kinavyokushushia heshma yako!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…