Kapombe ana mengi ya kujifunza Kwa Dickson Job

Fighting spirit wametofautiana
Mkuu, jamaa kasema beki wa kati na beki wa pembeni unawafananishaje?

Kama una uelewa kidogo, nipe madini hapa, Fighting spirit inaathiri vipi position za wachezaji uwanjani kiasi cha kufanya Kati na Pembeni pasitofautiane?

Kapombe ni B2B kwenye wing side, anayejichagiza na kasi aliyonayo, ikiwa ni pamoja na uwezo wa kumimina majalo, anaweza kuanzisha Counter, mara nyingi anacheleweshwa na attackers, pia namba 7 wake sio mtu mchangamfu kivile; huyu kule duniani angeweza kubadilishwa kuwa namba 7 na angefanya vizuri tu.

Dick Job, huyu anakamata namba ngapi pale Yanga, 4 au 5? Hawa watu si ndo labda uwabadili kuwa makipa? Nimeona mechi chache tu za Simba na Yanga, sijawahi mzingatia huyu beki, nadhani kwenye kikosi chake anafanya kazi nzuri akiwa beki wa kati, takwimu zinasema hivyo, ingawa inawezekana ni matokeo ya team work.
 
Ngoja niandae notice za kiuchambuzi kujibu swali
 
Mwendelezo wa thread za kipuuzi.
 
Kapombe alianza career Kama Center half baadae Central mildfider ,,baaadae aliombwa na Martin noij acheze leftback ndio Azam wakampa namba ya right back so kapombe ni kiraka haswa
 
Job umri bado unamruhusu,ila kwa uwezo na kipaji hakuna full beki ya soka kama kapombe hii nchi,ukibisha njoo na namba zao
Kapombe mzuri .....ila uliona performance yake alivyokutana na dogo kipre junior wa azam
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…