Metronidazole 400mg
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 941
- 2,062
Hawa wawili ni full backs Bora kabisa kuwahi kutoka hapa Tanzania ( ila tukubaliane kazi na umri shehe )
Wametumika na makocha wengi kwa mda mrefu na Bado wanaendelea kutumika ( hili ndilo AMBALO Mimi nalikataa na nitalipinga daima )
Just imagine, kwenye mechi za kimataifa ni wao, NBC wao, fa Bado wao.....watafanyiwa sub kipindi Cha pili pale TU timu ishapata matokeo kweli??
Nyie mashabiki wa Simba kuanzia hapa JF na kote duniani hili hamlioni?
Kwanini Hawa wachezaji hawapumzishwi??, mara nyingi sana wanacheza under performance ni vile saidia Mungu TU tunapata matokeo
Nyie mashabiki wenzangu acheni umandazi, acheni kukariri namba 2,3 ni wao TU Ata wacheze under performance mnakaa kimya TU,
Kocha fadlu, mbona mara nyingi akicheza Valentin Nouma kwenye fullback ya kushoto anacheza hizo dakika chache lakini michango wake ni mkubwa hasa kwenye kutengeneza nafasi kuzidi zimbwe?
Hii game plan Yako ya kuwatumia kapombe, zimbwe ku overlap nakuhakikishia itakuondoa Simba, nipo paleee nimekaa
Wametumika na makocha wengi kwa mda mrefu na Bado wanaendelea kutumika ( hili ndilo AMBALO Mimi nalikataa na nitalipinga daima )
Just imagine, kwenye mechi za kimataifa ni wao, NBC wao, fa Bado wao.....watafanyiwa sub kipindi Cha pili pale TU timu ishapata matokeo kweli??
Nyie mashabiki wa Simba kuanzia hapa JF na kote duniani hili hamlioni?
Kwanini Hawa wachezaji hawapumzishwi??, mara nyingi sana wanacheza under performance ni vile saidia Mungu TU tunapata matokeo
Nyie mashabiki wenzangu acheni umandazi, acheni kukariri namba 2,3 ni wao TU Ata wacheze under performance mnakaa kimya TU,
Kocha fadlu, mbona mara nyingi akicheza Valentin Nouma kwenye fullback ya kushoto anacheza hizo dakika chache lakini michango wake ni mkubwa hasa kwenye kutengeneza nafasi kuzidi zimbwe?
Hii game plan Yako ya kuwatumia kapombe, zimbwe ku overlap nakuhakikishia itakuondoa Simba, nipo paleee nimekaa