Kapotelea wapi Daz Baba Wa Daz Nundaz?

Wakuu miezi iliyopita nlikuwa namwona pale tabata sanene kashika BIA toka pale kwetu pazuri ndo mitaa anayoishi siku hizi Kuna siku Dada Yake anaitwa Mariamu alikuja maskani kwetu akawa anasema Daz hatumii madawa yeye ni pombe hizi za kienyeji na zile kali mixer bangi Sana.. Akasema atampeleka Kwa mganga ili arudi kwenye mziki.
jamaa hali ngada sema ganja,pombe kali, imani kali za kirasta, matunzo zero na usela mwingi zinamfanya aonekane kama dishi limeyumba ila ni mtu wa kusafiri sana.. Nimekaa nae sana maskan na hata jana tulikua nae
 
jamaa hali ngada sema ganja,pombe kali, imani kali za kirasta, matunzo zero na usela mwingi zinamfanya aonekane kama dishi limeyumba ila ni mtu wa kusafiri sana.. Nimekaa nae sana maskan na hata jana tulikua nae
Upo maskani gani mkuu??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…