kaptein Gadner G. Habashi ameacha kazi times?

kaptein Gadner G. Habashi ameacha kazi times?

Nilufer

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2012
Posts
9,603
Reaction score
13,654
jamani wanajamvi mimi nikiri kabisa kwanba ni shabiki mkubwa wa huyu mtangazaji tangu akiwa clauds f.m. umepita kama mwezi hivi simsikii katika kipindi chake cha maskani, times f.m. na kipindi hiki kwa sasa kimeshikwa na Ezden. kama kuna mtu anataarifa zake naomba afunguke hapa.
 
Back
Top Bottom