Kapteni Traole apiga marufuku Majaji nchini Burkina Faso kuvaa Mawigi yanayofanana na Majaji wa Ulaya

Kapteni Traole apiga marufuku Majaji nchini Burkina Faso kuvaa Mawigi yanayofanana na Majaji wa Ulaya

Manyanza

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
16,464
Reaction score
35,629
IMG-20250127-WA0010.jpg

Kiongozi wa Burkina Faso, Ibrahim Traoré amepiga marufuku majaji kuvaa mawigi yanayofanana na mitindo ya kikoloni ya Uingereza na Ufaransa, ikiwa ni juhudi za kuondoa athari za ukoloni kwenye mfumo wa mahakama wa taifa hilo.

Mawigi hayo yalianzishwa na wakoloni kama sehemu ya mavazi rasmi ya mahakama ili kuashiria mamlaka, utulivu, na heshima na baada ya ukoloni kumalizika, baadhi ya nchi za Afrika zimeendeleza matumizi ya mawigi hayo katika mifumo yao ya kisheria.
 
Kumbe ilikua ni kufuata tabia/desturi za mkoloni tu!

Bora yapigwe marufuku nchi zote,kwanza ni limzigo tu kichwani.
 
Batanzani.

Muikatae hizi nyele za farasi mukichwa.
NIUpumbav tyu
 
Hivi na wa huku kwetu wanavaa pia?
Aibu sana sana. Eti ukilivaa lilliwigi ndio unakua unatoa haki?

Hata sheria hizi zilizopo nazo ni za kwao na wapuuzi wa JF watakwambia sheria za kiafrika.

Traore yupo sawa mkichwa.

Sheria za kiafrika zinasema uvae wigi la nyweke za farasi?

Bangekuwa banavaa hata fuvu la fisi sawa.
 
View attachment 3215577
Kiongozi wa Burkina Faso, Ibrahim Traoré amepiga marufuku majaji kuvaa mawigi yanayofanana na mitindo ya kikoloni ya Uingereza na Ufaransa, ikiwa ni juhudi za kuondoa athari za ukoloni kwenye mfumo wa mahakama wa taifa hilo.

Mawigi hayo yalianzishwa na wakoloni kama sehemu ya mavazi rasmi ya mahakama ili kuashiria mamlaka, utulivu, na heshima na baada ya ukoloni kumalizika, baadhi ya nchi za Afrika zimeendeleza matumizi ya mawigi hayo katika mifumo yao ya kisheria.
Kwahiyo, wanavaa nini? Au kichwa wazi?
 
Back
Top Bottom