Pre GE2025 Kapu la Mama Samia Linaendelea Kujaa Kura Mkoani Songwe, 2025 Ushindi ni Lazima - Juliana Shonza

Pre GE2025 Kapu la Mama Samia Linaendelea Kujaa Kura Mkoani Songwe, 2025 Ushindi ni Lazima - Juliana Shonza

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Songwe, Mhe. Juliana Daniel Shonza tarehe 18 Oktoba, 2024 Amejiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura wa Serikali za Mitaa katika Kitongoji cha Kiwanda.​

Mbunge Juliana Daniel Shonza amefanya ziara ya kupita Mtaa kwa Mtaa kuhamasisha Wananchi kujitokeza kujiandikisha kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura katika siku chache zilizosalia lililoanza tarehe 11 - 20 Oktoba, 2024 ili kujihakikishia haki ya kupiga kura kipindi cha uchaguzi, 27 Novemba, 2024.

Aidha, Juliana Daniel Shonza katika ziara yake ya Mtaa kwa Mtaa ameambatana na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Mkoa wa Songwe, Bi. Emeliana Mwakyoma pamoja na viongozi mbalimbali kwa lengo la kuhakikisha wananchi wanaenda kujiandikisha na kupiga kura tarehe 27 Novemba, 2024

Shonza amesema lengo la kuhamasisha watu kujiandikisha ni muendelezo wa kujipanga haswaaa na kuhakikisha Kapu la Kura za Mama Samia Linajaa Mapema Katika Mkoa wa Songwe na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinashinda Mitaa, Vijiji na Vitongoji.
WhatsApp Image 2024-10-19 at 16.56.39.jpeg
WhatsApp Image 2024-10-19 at 16.56.42(1).jpeg
WhatsApp Image 2024-10-19 at 16.56.43(1).jpeg
WhatsApp Image 2024-10-19 at 16.56.44(1).jpeg
WhatsApp Image 2024-10-19 at 16.56.45(1).jpeg
WhatsApp Image 2024-10-19 at 16.56.42.jpeg
WhatsApp Image 2024-10-19 at 16.56.41(1).jpeg
WhatsApp Image 2024-10-19 at 16.56.40(2).jpeg
WhatsApp Image 2024-10-19 at 16.56.40(1).jpeg
WhatsApp Image 2024-10-19 at 16.56.40.jpeg
 

KAPU LA MAMA SAMIA LINAENDELEA KUJAA KURA MKOANI SONGWE, 2025 USHINDI NI LAZIMA - JULIANA SHONZA

Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Songwe, Mhe. Juliana Daniel Shonza tarehe 18 Oktoba, 2024 Amejiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura wa Serikali za Mitaa katika Kitongoji cha Kiwanda.

Mbunge Juliana Daniel Shonza amefanya ziara ya kupita Mtaa kwa Mtaa kuhamasisha Wananchi kujitokeza kujiandikisha kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura katika siku chache zilizosalia lililoanza tarehe 11 - 20 Oktoba, 2024 ili kujihakikishia haki ya kupiga kura kipindi cha uchaguzi, 27 Novemba, 2024.

Aidha, Juliana Daniel Shonza katika ziara yake ya Mtaa kwa Mtaa ameambatana na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Mkoa wa Songwe, Bi. Emeliana Mwakyoma pamoja na viongozi mbalimbali kwa lengo la kuhakikisha wananchi wanaenda kujiandikisha na kupiga kura tarehe 27 Novemba, 2024

Shonza amesema lengo la kuhamasisha watu kujiandikisha ni muendelezo wa kujipanga haswaaa na kuhakikisha Kapu la Kura za Mama Samia Linajaa Mapema Katika Mkoa wa Songwe na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinashinda Mitaa, Vijiji na Vitongoji.
 

Attachments

  • Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1.png
    Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1.png
    420.8 KB · Views: 3
Hana body morphology kama mama ya kinyakyusa. Pamoja na mshahara 18m na posho za ubunge udumavu wa nini Sasa?. Akina mama alioambatana nao hawafanani kabisa.
 
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Songwe, Mhe. Juliana Daniel Shonza tarehe 18 Oktoba, 2024 Amejiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura wa Serikali za Mitaa katika Kitongoji cha Kiwanda.​

Mbunge Juliana Daniel Shonza amefanya ziara ya kupita Mtaa kwa Mtaa kuhamasisha Wananchi kujitokeza kujiandikisha kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura katika siku chache zilizosalia lililoanza tarehe 11 - 20 Oktoba, 2024 ili kujihakikishia haki ya kupiga kura kipindi cha uchaguzi, 27 Novemba, 2024.

Aidha, Juliana Daniel Shonza katika ziara yake ya Mtaa kwa Mtaa ameambatana na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Mkoa wa Songwe, Bi. Emeliana Mwakyoma pamoja na viongozi mbalimbali kwa lengo la kuhakikisha wananchi wanaenda kujiandikisha na kupiga kura tarehe 27 Novemba, 2024

Shonza amesema lengo la kuhamasisha watu kujiandikisha ni muendelezo wa kujipanga haswaaa na kuhakikisha Kapu la Kura za Mama Samia Linajaa Mapema Katika Mkoa wa Songwe na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinashinda Mitaa, Vijiji na Vitongoji.View attachment 3130183View attachment 3130184View attachment 3130185View attachment 3130186View attachment 3130187View attachment 3130189View attachment 3130190View attachment 3130191View attachment 3130192View attachment 3130193
WEZI WA KURA KAZINI!! HATUSHANGAI!! LAZIMA UWEKE MAPAMBIO SIO NDIO UNAKULA HAPO SIVYO WEWE UNABAKI KAPUKU!!.
 
Samia anatafuta wa kumuachia kijiti ambaye ni kijana CCM yeye 2025 anapumzika kutokana na umri umesogea sana na hataki lawama za kuzungukwa na wasio waaminifu.
 
Hana body morphology kama mama ya kinyakyusa. Pamoja na mshahara 18m na posho za ubunge udumavu wa nini Sasa?. Akina mama alioambatana nao hawafanani kabisa.
Wacha uoumbavu wako. Nani kakuambia Songwe ni mkoa wa Wanyakyusa?
 
Yani kinacho nishangaza Hawa viongozi wa juu wanakuja jiandikisha kwenye orodha ya wapiga kura siku za mwishoni mwisho huku walikuwa wakitulalamikia wananchi tumesusa kumbe na wao walisusa
 
Mmh! Hii iliandikwa kitambo sana, na alikanusha kwa mapana na hasira kali.
Muache huyu mjinga aendelee na propoganda zake uchwara.Alikuwa kwenye coma sasa kakurupuka na Gazeti lake la Uhuru.
Huyo nae ni think tank.
 
Back
Top Bottom