Joyce Kiria
Member
- Aug 6, 2013
- 50
- 109
Kilewo wangu ametafutwa kwa udi na uvumba na Jeshi la Polisi kwa sababu ya Taarifa za magazeti..
Kapuya kafunguliwa Jalada la tuhuma zinazoendelea kuvuma kwenye vyombo vya habari, kama haitoshi tuhuma zimefunguliwa na mlalamikaji ambae ana ushaidi kwa kiasi kikubwa, na hayo mambo yamedumu kwa muda sasa kwenye vyombo vya habari! Lakini jeshi la polisi halijashughulika nae!
Au ndo mambo ya kukamata wezi wa kuku na kuwajaza magerezani huku wanaomaliza nchi (mafisadi) wanakula Kuku uraiani?
Ama kweli hii ni Tanzania zaidi ya uijuavyo.. Tunawangoja kwa hamu sana 2015..
Kilewo Mume wangu nipo na wewe tena nipo Imara sana kuliko unavyonijua. Pigania nchi kitaeleweka tu.
Kapuya kafunguliwa Jalada la tuhuma zinazoendelea kuvuma kwenye vyombo vya habari, kama haitoshi tuhuma zimefunguliwa na mlalamikaji ambae ana ushaidi kwa kiasi kikubwa, na hayo mambo yamedumu kwa muda sasa kwenye vyombo vya habari! Lakini jeshi la polisi halijashughulika nae!
Au ndo mambo ya kukamata wezi wa kuku na kuwajaza magerezani huku wanaomaliza nchi (mafisadi) wanakula Kuku uraiani?
Ama kweli hii ni Tanzania zaidi ya uijuavyo.. Tunawangoja kwa hamu sana 2015..
Kilewo Mume wangu nipo na wewe tena nipo Imara sana kuliko unavyonijua. Pigania nchi kitaeleweka tu.