karaha na utamu wa vigonela..................

Mi huwa natumia neno BAO LA KUTU. hili ni bao la wale vijana waliokaa na ukame kwa muda mrefu!
 
enzi hizo chuo kikuu (enzi za mzee punch) unogela ulikuwa unaitwa 'uhanga' na kipimo cha unogela kilikuwa kinaitwa 'ph'. Kwa wazee wenzangu mnakumbuka enzi hizo?
,enzi za 'harvard','manzese' na 'shimoni'?
 
He he he kweli jf kuna mada zinafurahisha......aisee hiyo kiu ni noma.hapa nilipo nina kiu balaa ila wife yuko kwenye mp
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…