BIG X JF-Expert Member Joined Nov 4, 2011 Posts 777 Reaction score 212 Jun 25, 2012 #1 Kila ninapokula karanga siku inayofuata huwa naharisha sana mpaka kiuno kinauma, ni kawaida!!.
Rogie JF-Expert Member Joined Nov 22, 2010 Posts 7,586 Reaction score 6,697 Jun 25, 2012 #2 sio kawaida
BIG Banned JF-Expert Member Joined May 4, 2012 Posts 262 Reaction score 71 Jun 25, 2012 #3 mmh! mimi ubuyu!!, nikila tu lazima nikaripoti, imebidi niache kula kabisa.
K kisukari JF-Expert Member Joined Jul 16, 2010 Posts 4,603 Reaction score 4,119 Jun 25, 2012 #4 kama ni hivyo.bora usile
Chuck j JF-Expert Member Joined Jun 17, 2011 Posts 2,366 Reaction score 828 Jun 25, 2012 #5 Weweee ,kama umebadili avator yako?hayo ni mafuta yatakudhuru,
BIG X JF-Expert Member Joined Nov 4, 2011 Posts 777 Reaction score 212 Jun 28, 2012 Thread starter #6 kisukari said: kama ni hivyo.bora usile Click to expand... Tatizo napenda sana karanga mie!.
Kunta Kinte JF-Expert Member Joined May 18, 2009 Posts 3,690 Reaction score 1,288 Jun 28, 2012 #7 BIG X said: Tatizo napenda sana karanga mie!. Click to expand... Basi endelea kula!!
no9 Senior Member Joined Nov 11, 2010 Posts 188 Reaction score 18 Jun 28, 2012 #8 bora wewe umepata tiba ya kutoa sumu mwilini kila baada ya miezi mitatu unatakiwa kufyashi uchafu/sumu mwilini magonjwa madogodogo yatakupitia mbali
bora wewe umepata tiba ya kutoa sumu mwilini kila baada ya miezi mitatu unatakiwa kufyashi uchafu/sumu mwilini magonjwa madogodogo yatakupitia mbali
Gody JF-Expert Member Joined Apr 16, 2010 Posts 1,246 Reaction score 413 Jun 30, 2012 #9 Usipende kula mara kwa mara utamaliza maji mwilini fanya hivyo mara 1 kwa wiki au mwez uwe unatoa uchafu mwilini kuna wengine wanapendea tumbo kama hilo coz wao wakienda toi ni kama mbuz
Usipende kula mara kwa mara utamaliza maji mwilini fanya hivyo mara 1 kwa wiki au mwez uwe unatoa uchafu mwilini kuna wengine wanapendea tumbo kama hilo coz wao wakienda toi ni kama mbuz
B baba manka Member Joined Apr 7, 2012 Posts 26 Reaction score 8 Jul 3, 2012 #10 utakuwa unaallergy na vitu jamii ya nuts.kwan umeshawah kula korosho na na matokeo yapoje?
S silent lion JF-Expert Member Joined Feb 28, 2012 Posts 1,278 Reaction score 1,794 Jul 5, 2012 #11 Mie inanitokezea ikiwa nakula karanga mbichi bila kuziosha. Kama na ww ni hivyo hivyo nakushauri uzioshe kabla hujazila
Mie inanitokezea ikiwa nakula karanga mbichi bila kuziosha. Kama na ww ni hivyo hivyo nakushauri uzioshe kabla hujazila
F Fmewa JF-Expert Member Joined Nov 16, 2009 Posts 292 Reaction score 81 Jul 5, 2012 #12 naomba ushauri wenu