Karanga mbichi?

Karanga mbichi?

Ni kweli huwa zinasaidia sana mkuu si unajua karanga mbichi zina protein kwa wingi na asili ya wale wazungu ni protein.Huku Tandahimba ndo huwa zinatusaidia sana na kututofautisha na wanaume wa Dar kwa sababu karanga mbichi ni chakula chetu cha kawaida tukiwa kwenye shughuli zetu mashambani wakati chips yai rojorojo ndo chakula cha kawaida cha wanaume wa Dar!
 
Ni kweli huwa zinasaidia sana mkuu si unajua karanga mbichi zina protein kwa wingi na asili ya wale wazungu ni protein.Huku Tandahimba ndo huwa zinatusaidi sana na kututofautisha na wanaume wa Dar kwa sababu karanga mbichi ni chakula chetu cha kawaida tukiwa kwenye shughuli zetu mashambani wakati chips yai rojorojo ndo chakula cha kawaida cha wanaume wa Dar!
Inawasaidia nini???

Mnapata nguvu au wazungu wanaongezeka???
 
Zinasaidia kuongeza shahawa kwa wanaume na wanawake zinaongeza mnyegezo...karanga+mihogo mibichi unaweza mwaga kikombe
 
Back
Top Bottom