Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Hapana.wauza karanga wa mtaani wanaziponda na kuziita za watoto ili karanga zao zinunuliwe lakini kiukweli zile na hizi nyingine hazina tofauti yoyote ile.Mmmh zile za diamond za watoto
Sukari nyingiHapana.wauza karanga wa mtaani wanaziponda na kuziita za watoto ili karanga zao zinunuliwe lakini kiukweli zile na hizi nyingine hazina tofauti yoyote ile.
Eti zipigwe marufuku... Daah!! Nchi hii inawatu wanawaza kizembe sana. Tatizo kubwa la nchi hii ni packaging, Diamond kaona hiyo ni business opportunity kaitumia vyema sasa hivi hata mgeni toka nje ya nchi anaweza kununua karanga mtaani bila kuhofia afya yake!karanga za diamond zimesababisha karanga nyingine huku mtaani zisinunuliwe kabisa
tena mbaya zaidi kuna wengine walikuwa wanategemea kupika karanga ili waendeshe maisha yao,,ujio wa diamond karanga umesababisha karanga zao kudoda.
wengi wanatamani leo kesho diamond karanga zipigwe marufuku.
ukitaka kuamini hilo hata ukiwa ndani ya gari akipita mtu na sinia lake la karanga anauza halafu akaja mwengine naye anauza karanga za diamond,,itakazonunuliwa ni hizo za diamond.
hapa serikali iingilie kati maana wengine miaka nenda miaka rudi wanaendesha maisha kwa kuuza karanga.
karanga za diamond zimesababisha karanga nyingine huku mtaani zisinunuliwe kabisa
tena mbaya zaidi kuna wengine walikuwa wanategemea kupika karanga ili waendeshe maisha yao,,ujio wa diamond karanga umesababisha karanga zao kudoda.
wengi wanatamani leo kesho diamond karanga zipigwe marufuku.
ukitaka kuamini hilo hata ukiwa ndani ya gari akipita mtu na sinia lake la karanga anauza halafu akaja mwengine naye anauza karanga za diamond,,itakazonunuliwa ni hizo za diamond.
hapa serikali iingilie kati maana wengine miaka nenda miaka rudi wanaendesha maisha kwa kuuza karanga.
chunguza mkuu utakubaliana na mimiKuna watu mnamawazo hasi sana.... kivipi sasa unataka kuwafanya wa Tz ni hawayani eeee.... Zimedodesha vpi??
Kweli sidhani kama zinaongeza manii kama zile karanga mbichiMmmh zile za diamond za watoto
Haziongezi pia wamezikaanga sana
Ndo tatizo angeweka Na mbichi akaziita jaza ujazweHaziongezi pia wamezikaanga sana
Kabisa