yawezekana nguo aliyo kuwa amevaa siyo iyo, ila picha imechukuliwa ya muhusika.
yaani uwe na kosa uwekwe mbele kupigwa picha kama ushahidi ubebe na kipima joto na kuweka pozi.
tena nyuma ya ukuta wa nyumba ya mtu, ntakuwa wa mwisho kuamini wamemuhukumu kwa ilo vazi.