Karata ya Wamachinga imeokotwa

Karata ya Wamachinga imeokotwa

Pile F

Senior Member
Joined
Aug 15, 2020
Posts
121
Reaction score
170
Ukiwa Dar es Salaam au Mwanza Jiji na baadhi ya Maeneo ya Kabwe na Mwanjelwa Mbeya, pamoja na Jiji la Dodoma utaona Machinga wamepungua sana wamejaribu kutii na kuondoka na bidhaa zao

Pamoja na mafanikio haya, kumeibuka ongezeko la Parking mpaka milangoni pa hayo Maduka ya Wale wanaolipa Kodi na kufanya Biashara halali.

Wakuu haya Magari yanapaki mpaka kwenye zile njia za waenda kwa Miguu (Walk Ways). Ukipita hasa jioni na mchana maeneo kama ya Magomeni, Kinondoni, Sinza, Mwenge, Kariakoo na Posta Dar es Salaam utaipata tabu kubwa kufika mwisho wa barabara

Sasa kulikuwa na haja gani ya kuwaondoa Hawa watu Mbali na kuandaa possible Parking areas somewhere ili kuwe wazi Mitaani?

Kitaalam barabara hata kama ni ya Mjini katikati haitakiwi kuwa Parking badala yake huwa kuna maeneo huwekwa na hujengwa kama Parking at either One's Own Risk or to something as Payment

Wakuu;
Je, ndivyo ilivyo kuwa shughuli za Wamachinga kujiimarisha kwa Chochote hazikufaa Ila yakipark Magari mbele ya Milango ya hayo Maduka na njia za waenda kwa Miguu?
 

Wapiga Kura Wangu Waacheni Msiwaboleshe

Hawa Ndiyo Walionipigia Kura Waacheni
By Mzilankende
Timu gaidi meno yote nje kwa furaha kwa sababu hao boda boda na bajaji vyuma vimelegea hela zitajaa mifukoni mwao baada ya kufukuzwa mjini
 
Ukiwa Dar es Salaam au Mwanza Jiji na baadhi ya Maeneo ya Kabwe na Mwanjelwa Mbeya, pamoja na Jiji la Dodoma utaona Machinga wamepungua sana wamejaribu kutii na kuondoka na bidhaa zao

Pamoja na mafanikio haya, kumeibuka ongezeko la Parking mpaka milangoni pa hayo Maduka ya Wale wanaolipa Kodi na kufanya Biashara halali.

Wakuu haya Magari yanapaki mpaka kwenye zile njia za waenda kwa Miguu (Walk Ways). Ukipita hasa jioni na mchana maeneo kama ya Magomeni, Kinondoni, Sinza, Mwenge, Kariakoo na Posta Dar es Salaam utaipata tabu kubwa kufika mwisho wa barabara

Sasa kulikuwa na haja gani ya kuwaondoa Hawa watu Mbali na kuandaa possible Parking areas somewhere ili kuwe wazi Mitaani?

Kitaalam barabara hata kama ni ya Mjini katikati haitakiwi kuwa Parking badala yake huwa kuna maeneo huwekwa na hujengwa kama Parking at either One's Own Risk or to something as Payment

Wakuu;
Je, ndivyo ilivyo kuwa shughuli za Wamachinga kujiimarisha kwa Chochote hazikufaa Ila yakipark Magari mbele ya Milango ya hayo Maduka na njia za waenda kwa Miguu?
Ndo sehemu yake unataka wakapaki soko la machinga complex?
 
Bora magari kuliko machinga ,machinga walikua kero niliwahi kupitia mguu wa mtu na Gari kwa sababu ya msongamano wa machinga ile jam ilikua hatari kwa watu.
 
Back
Top Bottom