Karatasi (Ream paper) kupanda bei hadi Tsh 20,000/=, Itaongeza ugumu wa elimu Tanzania

Karatasi (Ream paper) kupanda bei hadi Tsh 20,000/=, Itaongeza ugumu wa elimu Tanzania

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Bei ya karatasi kwa Rimu reja reja ilikuwa 7000~12000/=
Hivi sasa Bei imepanda ghafla bei ya Reja reja ni 18000~25000/=

Je wizara ya elimu haioni kwamba hili litachangia kuongeza ugumu wa elimu kwa watoto wetu endapo gharama za uchapaji na ufundishaji zitaongezeka kutokana na kupanda kwa bei ya karatasi?
 
Tuhamie kwenye TEHAMA ingawa hatumiliki teknolojia hiyo hivyo mmiliki wa TEHAMA atapata furusa nzur ya kututawala.
 
"Kila kitu kitapanda bei" by Madam President
 
Unajua vitu vinaitwa chaki, madaftari na ubao huku watoto wanacopy notes na mwalimu kuandika ubaoni ?

Elimu imekua rahisi kuipata / kukariri siku hizi sio kama zamani mambo yamekuwa rahisi kulenga mtihani..., ingawa sidhani kama uelewa umeongezeka rather than kukariri....

Sorry siungi mkono vitu kupanda bei ila nikimsikia mtu wa elimu analeta visingizio vya kupanda ream eti ndio imeleta ugumu katika uelewa nitamuomba achukue a route to few years back wakati even a duplicator was a thing of imagination
 
Unajua vitu vinaitwa chaki, madaftari na ubao huku watoto wanacopy notes na mwalimu kuandika ubaoni ?

Elimu imekua rahisi kuipata / kukariri siku hizi sio kama zamani mambo yamekuwa rahisi kulenga mtihani..., ingawa sidhani kama uelewa umeongezeka rather than kukariri....

Sorry siungi mkono vitu kupanda bei ila nikimsikia mtu wa elimu analeta visingizio vya kupanda ream eti ndio imeleta ugumu katika uelewa nitamuomba achukue a route to few years back wakati even a duplicator was a thing of imagination
Hujui ada itapanda
 
Hujui ada itapanda
Unadhani ream isingepanda ada ingebakia hivyo ? , Kama gharama za maisha zikipanda alafu karatasi ikabia hivyo hivyo unadhani watu watakula karatasi na kutumia usafiri wa karatasi kufika wanakoelekea...,

My point is kuna plan B kwa hawa madogo na wakufunzi wao kupunguza matumizi ya karatasi ila sidhani kama kuna Plan B ya mfumuko wa bei ambao umehit kila nyanja na kila kona for the lack of proper and timely planning ya watawala wetu
 
Back
Top Bottom