Karatasi zapanda bei mara mbili, vitu vinafumuka mtaani wako bize kuchapa tozo na kununua magari

Karatasi zapanda bei mara mbili, vitu vinafumuka mtaani wako bize kuchapa tozo na kununua magari

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Katika kitu ambacho serikali ya awamu ya sita imejaliwa ni KUTOKUWA NA HURUMA NA MZIGO MKUBWA WA GHARAMA ZA MAISHA wanachojali wao ni kupiga matozo kila kona wapate kununua MA VX 2022 MODELS ikifika 2023 wanunue tena 2023 models. Damn!

Vitu vinapanda mnoooo hata visivyo na uhusiano na vita vya ukraine ambavyo ndicho kisingizio kikubwa cha utawala huu kuna kipindi yule kiongozi mkubwa muongo muongo alisema wanafatilia kwa kina kupanda kwa bei na jinsiya kudhibiti hilo limeishia hewani kama kawaida yake ahadi zake na maagizo yake huishia njiani nina hakika hata yeye kasahau sababu huwa anadanganyadanganya tu.

Protex ilikuwa 1500 majuzi tu sasa ni 3500, kakopo cha kahawa cha 3000 sasa ni 6500, jamani, hata hizi karatasi nazo zimepanda mara mbili.

Capture.JPG
 
Katika kitu ambacho serikali ya awamu ya sita imejaliwa ni KUTOKUWA NA HURUMA NA MZIGO MKUBWA WA GHARAMA ZA MAISHA wanachojali wao ni kupiga matozo kila kona wapate kununua MA VX 2022 MODELS ikifika 2023 wanunue tena 2023 models. Damn!

Vitu vinapanda mnoooo hata visivyo na uhusiano na vita vya ukraine ambavyo ndicho kisingizio kikubwa cha utawala huu kuna kipindi yule kiongozi mkubwa muongo muongo alisema wanafatilia kwa kina kupanda kwa bei na jinsiya kudhibiti hilo limeishia hewani kama kawaida yake ahadi zake na maagizo yake huishia njiani nina hakika hata yeye kasahau sababu huwa anadanganyadanganya tu.

Protex ilikuwa 1500 majuzi tu sasa ni 3500, kakopo cha kahawa cha 3000 sasa ni 6500, jamani, hata hizi karatasi nazo zimepanda mara mbili.

View attachment 2333192
Kwani kuna uhusiano kati ya kupanda ya karatasi na tozo la mama, kila kitu kimepanda gharama ya kuishi imekua ngumu zaidi mpaka kuepo na mbadala wa sera kwasasa ila duh
 
Katika kitu ambacho serikali ya awamu ya sita imejaliwa ni KUTOKUWA NA HURUMA NA MZIGO MKUBWA WA GHARAMA ZA MAISHA wanachojali wao ni kupiga matozo kila kona wapate kununua MA VX 2022 MODELS ikifika 2023 wanunue tena 2023 models. Damn!

Vitu vinapanda mnoooo hata visivyo na uhusiano na vita vya ukraine ambavyo ndicho kisingizio kikubwa cha utawala huu kuna kipindi yule kiongozi mkubwa muongo muongo alisema wanafatilia kwa kina kupanda kwa bei na jinsiya kudhibiti hilo limeishia hewani kama kawaida yake ahadi zake na maagizo yake huishia njiani nina hakika hata yeye kasahau sababu huwa anadanganyadanganya tu.

Protex ilikuwa 1500 majuzi tu sasa ni 3500, kakopo cha kahawa cha 3000 sasa ni 6500, jamani, hata hizi karatasi nazo zimepanda mara mbili.

View attachment 2333192
Awamu hii, hakuna jiwe litakalosalia juu ya jingine
 
Kwani kuna uhusiano kati ya kupanda ya karatasi na tozo la mama, kila kitu kimepanda gharama ya kuishi imekua ngumu zaidi mpaka kuepo na mbadala wa sera kwasasa ila duh
Suyo sera,awamu hii haijali leo unakuta kitu 500 kesho buku ,huyu mama umesahau alivyokuwa ana encourage wafanyabishara kupandisha bei ilhali kwao zbar ni nafuu kila kitu
 
NA WAZIDI KUONGEZA TOZO

MPAKA AKILI ZITUKAE SAWA

NAONA BADO AKILI ZETU HAZIJAA

KAA SAWA,WAONGEZE TENA TOZO

ova
 
Back
Top Bottom