Acha kupotosha mambo, kwa bahati mbaya wajumbe wengi wa Bunge la Katiba hawakutumwa na wananchi kuwawakilisha hivyo wana wajibu wa kufanya maamuzi kwa niaba ya aliyewatuma kwa kuwateua. Kwa kura siri tu ndipo wataweza angalau kupata nafasi ya kujikwamua kwa kukata minyororo ya utumwa bila woga wa kunyofolewa macho, kucha na meno....Bunge maalumu la katiba lina wajumbe ambao wana wajibu wa kufanya maamuzi kwa niaba ya wale wanao wawakilisha. Sasa kwa upigaji kura wa siri, wale wanao wakilishwa watajiridhishaje kuwa maoni yao yamepigiwa kura kama walivyo pendekeza?
tamko gani?
pitia habari za siku tatu zilizopita utajua ni tamko gani mkuu
Mawazo yako binafsi yakizidi ni bora uache uongozi wa kanisa na kuingia katika ulingo wa siasa.
Si uongo yaonyesha wazi jinsi vinyegenyege vinavyokupanda na kila wakati kupenda kusema neno kubwa la kisiasa ambalo wajua kama kiongozi wa kanisa ni hatari.
Jitose tu kama Slaa ili uwe huru zaidi.
Pole Kapengo.
Mawazo yako binafsi yakizidi ni bora uache uongozi wa kanisa na kuingia katika ulingo wa siasa.
Si uongo yaonyesha wazi jinsi vinyegenyege vinavyokupanda na kila wakati kupenda kusema neno kubwa la kisiasa ambalo wajua kama kiongozi wa kanisa ni hatari.
Jitose tu kama Slaa ili uwe huru zaidi.
Pole Kapengo.
Kumbe lile tamko si la Baraza la Maskofu........
CCM hawajiamini sasa wanatafuta jinsi ya kujikwamua , wanapigwa kila mahali kumbuka Amir Kundecha alisema kura iwe siri , naona na Pengo kaja na msimamo kama Amir , hapo maana yake wakristo na waislamu wameamua kuunga na ktk hilo , sasa wapagani kina Kingunge na CCM watafute uungwaji mkono wa mashetani au !