CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
Habari wakuu?
Kwa sasa unaweza kuwa wa kwanza kabiasa kupata KARI improved Kienyeji, Hawa ni kuku wenye utagaji wa kiwango cha juu kabisa kuliko hata kuku wa Kisasa wa mayai, Kwa sasa unaweza wapata kwa Oda na oda haitapungua 28 Days, na unatakiwa kulipa na commitment fees ya 25%
Hawa kuku wanaweza hata lalilia na unaweza wafuga kaama kuku wa kienyeji wengine tu. Na Vifaranga wanaopatiakna ni wa wiki Mbili. Tsh 4000/ wakiwa na chanjo 3.
Kwa sasa unaweza kuwa wa kwanza kabiasa kupata KARI improved Kienyeji, Hawa ni kuku wenye utagaji wa kiwango cha juu kabisa kuliko hata kuku wa Kisasa wa mayai, Kwa sasa unaweza wapata kwa Oda na oda haitapungua 28 Days, na unatakiwa kulipa na commitment fees ya 25%
Hawa kuku wanaweza hata lalilia na unaweza wafuga kaama kuku wa kienyeji wengine tu. Na Vifaranga wanaopatiakna ni wa wiki Mbili. Tsh 4000/ wakiwa na chanjo 3.