njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Sisi sote ni mashahidi jinsi wallace karia na TFF walivyokuwa wanawazuia kina yikpe,sarpong na wachezaji kadhaa nyota wa kigeni kufunga magoali na kusababisha wakose magoli ya wazi huku wakiwabeba wachezaji wa kiwango cha kawaida mno kama cham,kagere,luis jose waonekane wana shine.
Wana jangwani tumechoka na fitna hizo, haiwezekani wachambuzi na manguli ya habari kama gazeti la mwana spoti wachambue na kusema mashine/mitambo ya magoli inashuka ikifika hapa TFF wanafanya fitna, mitambo inaonekana ya kawaida, siyo uungwana huu.
Kambole na Djuma Shabani ambao kwa pamoja wameigharimu Gsm ths billions 6.2 wasipozuiwa na Karia ku shine uwanjani watatisha sana na kama wasipofanya vizuri lawama ziende TFF.
Wana jangwani tumechoka na fitna hizo, haiwezekani wachambuzi na manguli ya habari kama gazeti la mwana spoti wachambue na kusema mashine/mitambo ya magoli inashuka ikifika hapa TFF wanafanya fitna, mitambo inaonekana ya kawaida, siyo uungwana huu.
Kambole na Djuma Shabani ambao kwa pamoja wameigharimu Gsm ths billions 6.2 wasipozuiwa na Karia ku shine uwanjani watatisha sana na kama wasipofanya vizuri lawama ziende TFF.