Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tutashikana mashati na makonda wakitupitiliza kituo[emoji16]
Me uwa ata siangaiki nayo. Basi ukipita usiku mfano saa 6-8 usiku Kariakoo ndogo kinoma.Mitaa ya Kariakoo inanitoaga knockout kishenzi...
Kuna siku nilipotea nimetoka bondeni na mafia niende machinga complex nikala kona nikatokea Livingstone kule kwenye duka la GSM Dah we acha tuMitaa ya Kariakoo inanitoaga knockout kishenzi...
Usipo kuwa serious unaweza kuzunguka siku nzima Kariakoo unatafuta njia ya kutokea 🤣🤣Mitaa ya Kariakoo inanitoaga knockout kishenzi...
We acha kuna siku nilikaa kusuburi daladala za Kawe za kurudi sizioni ikanibidi nikodi bajaji tuKuna siku nilipotea nimetoka bondeni na mafia niende machinga complex nikala kona nikatokea Livingstone kule kwenye duka la GSM Dah we acha tu
Kwani Abiria wa Daladala hiyo wao wanasemajeHuu utaratibu wa daladala kupaki sehemu yoyote hadi msikitini ni uchafu zaidi ya ule wa Wamachinga.
RC Makala hebu tuondolee hizi daladala za Tegeta, Kawe na Makumbusho hapa msikiti wa Makonde.
Maendeleo hayana vyama!
Hiyo mitaa ilivyobana na mifupi, sijui inakuwaje hiyo kero ya daladala..!Huu utaratibu wa daladala kupaki sehemu yoyote hadi msikitini ni uchafu zaidi ya ule wa Wamachinga.
RC Makala hebu tuondolee hizi daladala za Tegeta, Kawe na Makumbusho hapa msikiti wa Makonde.
Maendeleo hayana vyama!
Daladala wangefanya ziishie pale fire,alafu watu wasogezwe Kariakoo na bajaji na bodaboda kwa wale watakao hitaji usafiri huo!!Hiyo mitaa ilivyobana na mifupi, sijui inakuwaje hiyo kero ya daladala..!
Shida ipo kwa watu kutozoea tabia ya kutembea walau 1km, hii ingekuwa bomba sana hata gari zingine kuishia Jagwani kuondoa zile vurugu na rabisha eneo la Kariakoo.Daladala wangefanya ziishie pale fire,alafu watu wasogezwe Kariakoo na bajaji na bodaboda kwa wale watakao hitaji usafiri huo!!
Joto la Kariakoo unamuachia nani!!! Unataka wateja wakimbie ofisi zetu kwa mijasho.Shida ipo kwa watu kutozoea tabia ya kutembea walau 1km, hii ingekuwa bomba sana hata gari zingine kuishia Jagwani kuondoa zile vurugu na rabisha eneo la Kariakoo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usipo kuwa serious unaweza kuzunguka siku nzima Kariakoo unatafuta njia ya kutokea [emoji1787][emoji1787]